Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Uchaguzi Mkoa wa DSM hasa wa mwanamfalme ndiyo umefanya somo kubwa na ikakuta ni mtu tu anazungumziwa. Huko social media ni clips zake tu za maneno aliyoyatamka huko nyuma. Utafikiri ni yeye mtia nia pekee Tanzania nzima. Ajitafakari
Mnampa umuhimu na kumkweza kinyume na alivyo. Shuguli imekwisha lakini sisi maisha yanaendelea na yeye pia.
 
Porn star gwajimen apigwe arudi mtaani kuendelea kuratibu kile kikundi chake cha kikabila yeye na makonda.......
 
Jimbo kama la kawe, kamati kuu inabidi iwe makini sana!! Mtu anaweza akashinda ndani ya chama lakini hana mvuto kwa wananchi!! Kumshinda Mdee inabidi apatikane mtu mwenye uwezo wa kuchukua kura kwa CCM na CHADEMA. Kwa kawe, Gwajima anafaa sana nikilinganisha na wengine...

Mdee ataondoka asubuhi na mapema...
Katika watia nia wote jimbo hilo mwenye uwezo walau wa kumtikisa Mdee ni Benjamini Sitta tu
 
Ni jambo jema.

Yawezekana kabisa mchuano mkali kule Kawe hapo October 26 ukawa kati ya Halina Mdee wa CCM na Furaha Dominic wa CCM endapo ataletwa na Kamati kuu.

Kwa kifupi ni kwamba: Mdee 10 Yatosha!

Maendeleo hayana vyama.
 
Katika watia nia wote jimbo hilo mwenye uwezo walau wa kumtikisa Mdee ni Benjamini Sitta tu

Bahati mbaya hajafanikiwa kuingia tatu bora. Kidogo kwenye hao tatu bora kwa jinsi Mdee alivyo stragetic katika kuzungumza mtu wa kumtikisa hapo ni Mchungaji Gwajima...
 
Mkoa wa Kigoma

Buhigwe

Dr. Philip Mpango 297
Obama 76

Kigoma Kaskazini
Peter Serukamba 261
Asa Makanike 81
Suleiman Hanzuruni 51

Kasulu Vijijini
Augustine Vuma 266 (alikuwa mbunge anayemaliza muda wake)
Agripina Buyogera 97
Samson F. Kabogo 70
Betola Juma Kulikiza 46
Emanuel T. Msasa 26
Yona P. Msongwa 21
Adam P. Mkuyu 20
Prof. Hudson Nkotagu 18
Leonard L. Nyanzira 11
Gibson Bunyaga 10

Kwa hiyo Augustine Vuma ameongoza kutetea Ubunge katika Jimbo aliloliwakilisha.

Buyungu
Kamamba 50
Msakila 47
Gwegenyeza 44
Eng. C. Chiza 33
Eliya 13

Kwa hiyo Eng. Christopher Chiza ameshika nafasi ya 4 kwenye Jimbo alilokuwa mbunge
Hata hiyo no 4 amependelewa mno. Ni bogus hana utendaji kabisa. Walishamkataa akarudi kimuujiza
 
Ni jambo jema.

Yawezekana kabisa mchuano mkali kule Kawe hapo October 26 ukawa kati ya Halina Mdee wa CCM na Furaha Dominic wa CCM endapo ataletwa na Kamati kuu.

Kwa kifupi ni kwamba: Mdee 10 Yatosha!

Maendeleo hayana vyama.
Halima Mdee sio wa ccm na uchaguzi mkuu kwa mujibu wa tangazo la tume utafanyika octoba 28,2020
 
Huyu ni mwanaume mkuu

Huyu ndo Komredi Furaha DOMINICK JACOB
0568BAB0-2D5B-4409-B001-BF77801C8E00.jpeg
 
Back
Top Bottom