Na iwe hivyo inshaallah
NjemaZa kuadimika mdada
Mnampa umuhimu na kumkweza kinyume na alivyo. Shuguli imekwisha lakini sisi maisha yanaendelea na yeye pia.Uchaguzi Mkoa wa DSM hasa wa mwanamfalme ndiyo umefanya somo kubwa na ikakuta ni mtu tu anazungumziwa. Huko social media ni clips zake tu za maneno aliyoyatamka huko nyuma. Utafikiri ni yeye mtia nia pekee Tanzania nzima. Ajitafakari
Katika watia nia wote jimbo hilo mwenye uwezo walau wa kumtikisa Mdee ni Benjamini Sitta tuJimbo kama la kawe, kamati kuu inabidi iwe makini sana!! Mtu anaweza akashinda ndani ya chama lakini hana mvuto kwa wananchi!! Kumshinda Mdee inabidi apatikane mtu mwenye uwezo wa kuchukua kura kwa CCM na CHADEMA. Kwa kawe, Gwajima anafaa sana nikilinganisha na wengine...
Mdee ataondoka asubuhi na mapema...
Khaaaa mama jamani ana tamaa yule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ana fomu mbili jimbo na viti maalum
Katika watia nia wote jimbo hilo mwenye uwezo walau wa kumtikisa Mdee ni Benjamini Sitta tu
Hata hiyo no 4 amependelewa mno. Ni bogus hana utendaji kabisa. Walishamkataa akarudi kimuujizaMkoa wa Kigoma
Buhigwe
Dr. Philip Mpango 297
Obama 76
Kigoma Kaskazini
Peter Serukamba 261
Asa Makanike 81
Suleiman Hanzuruni 51
Kasulu Vijijini
Augustine Vuma 266 (alikuwa mbunge anayemaliza muda wake)
Agripina Buyogera 97
Samson F. Kabogo 70
Betola Juma Kulikiza 46
Emanuel T. Msasa 26
Yona P. Msongwa 21
Adam P. Mkuyu 20
Prof. Hudson Nkotagu 18
Leonard L. Nyanzira 11
Gibson Bunyaga 10
Kwa hiyo Augustine Vuma ameongoza kutetea Ubunge katika Jimbo aliloliwakilisha.
Buyungu
Kamamba 50
Msakila 47
Gwegenyeza 44
Eng. C. Chiza 33
Eliya 13
Kwa hiyo Eng. Christopher Chiza ameshika nafasi ya 4 kwenye Jimbo alilokuwa mbunge
Gwajima hana uzoefu wa kisiasa kupambana na Mdee.Bahati mbaya hajafanikiwa kuingia tatu bora. Kidogo kwenye hao tatu bora kwa jinsi Mdee alivyo stragetic katika kuzungumza mtu wa kumtikisa hapo ni Mchungaji Gwajima...
Halima Mdee sio wa ccm na uchaguzi mkuu kwa mujibu wa tangazo la tume utafanyika octoba 28,2020Ni jambo jema.
Yawezekana kabisa mchuano mkali kule Kawe hapo October 26 ukawa kati ya Halina Mdee wa CCM na Furaha Dominic wa CCM endapo ataletwa na Kamati kuu.
Kwa kifupi ni kwamba: Mdee 10 Yatosha!
Maendeleo hayana vyama.
Njema
Tarime oyeeeTarime vijijini ni kesho