Mashinji amepata kura 2 kati ya Mia nne na ushee. Kwetu CCM tulijihakikishia kuwa wote waliofika bei eti waje watupokonye tonge mkononi sisi tuliotumikia chama haiwezekani. Mlidanganywa mkafikiri mmepata. Na mkirudishwa tu ndiyo mtatujua sisi maana. Rudini mlikotoka.
 
Kwa lipi hasa alilio nalo gwajima?
 
Hata Kama Tunaichukia CCM Lakini Tukubali CCM Ni Mafundi Wa Kugonga Watu Spana, Yaani Dkt Mashinji Ni Wakulamba Kura 2 Tu? Huyu huyu Dkt Mashinji Aliyekua Katibu Mkuu CHADEMA? Kura Mbili Kweli? Wajumbe Mungu Anawaona 😂😂
Hahahaaaa....... CCM ni chama kikubwa!
 
Wahamiaji haramu wamekatwa vichwa tena kwa namba Yai au single digit na double digit za kuchechemea tu. Hii ndiyo CCM bwana.
 
Huyo Idd Azan alikuwa wapi kushinda 2015 mbele ya mtulia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…