Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Nkurunzinza ! Duu huyu atakuwa ndugu wa Pierre
Watampitisha gwajiboi ccm hawaweza mpigia kura mwanamkeHuyu furaha Dominic anaonekana mashine
Ova
Hasa upande wa fitnaHahahaaaa....... CCM ni chama kikubwa!
Jimbo la NgaraMkoa wa Kigoma
Kigoma Mjini
Kirunde Shaban Ng'enda 218
Juma Juma Mwaka 44
Eng. James Nyabakari 37
Juma Musa Kamange 26
Maulid Mkondo 17
Dr. Ahmed Nsovu 17
Shaban S. Hamim 11
Benedict Sindagi 10
Baruan Abdallah Mhuza 10
Huyu Juma Juma Mwaka ni yule dokta wa mitishamba ya uzazi mwenye wake 3?Mkoa wa Kigoma
Kigoma Mjini
Kirunde Shaban Ng'enda 218
Juma Juma Mwaka 44
Eng. James Nyabakari 37
Juma Musa Kamange 26
Maulid Mkondo 17
Dr. Ahmed Nsovu 17
Shaban S. Hamim 11
Benedict Sindagi 10
Baruan Abdallah Mhuza 10
SijayapataJimbo la Ngara
Namkumbuka mgombea mwenza wa CHADEMA 2015, anakwambia 'kifo cha mende miguu juu ndembwendembwe'MASHINJI Kapata kura 2..😂😂😂😂😂😂😂😂 kifo cha mende miguu juu
Baruani Mhuza wa Azam TV kura 10Mkoa wa Kigoma
Kigoma Mjini
Kirunde Shaban Ng'enda 218
Juma Juma Mwaka 44
Eng. James Nyabakari 37
Juma Musa Kamange 26
Maulid Mkondo 17
Dr. Ahmed Nsovu 17
Shaban S. Hamim 11
Benedict Sindagi 10
Baruan Abdallah Mhuza 10
Huyo Idd Azan alikuwa wapi kushinda 2015 mbele ya mtulia?
Jimbo la KAWE:
1- Furaha Dominic Jacobo: 101✔
2- Angela Charles Kiziga: 85
3- Josephat Gwajima: 79
4- Benjamini Sitta: 61
Dkt Vicent Mashinji amepata kura 2
Kippi Warioba kura 3
Kwani ni mwanamke?Watampitisha gwajiboi ccm hawaweza mpigia kura mwanamke
Khaaaa mama jamani ana tamaa yule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndivyo unawaza subiri October 28mambo sasa hadharani. ni hesabu rahisi za logic.
ni hivi...
kwa siasa za ndani na nje ya CCM, Makonda ni taswira ya JPM.
huko Kigamboni, Makonda kaambulia 34.76% ya kura.
hiyo ndiyo opinion ya wana CCM wa Kigamboni dhidi ya Makonda (mirroring JPM).
nina uhakika hiyo ndiyo pia verdict ya wana CCM katika mkuu wao majuzi kule Dodoma, kwamba ndani ya mioyo ya wana CCM, JPM anakubalika kwa 34.76% tu na siyo 100%.
uchaguzi mkuu October ungekuwa huru, JPM asingeweza kuambulia hata 30%.
upinzani over to you.
ni logic rahisi tu
Zitto John Mnyika CHADEMA ACT Wazalendo
Kwahiyo hiyo ukawa kwa Mussa Zungu haikuwepo?Mtulia alibebwa na nguvu ya Ukawa mwenyewe hawezi kupambana hata na mimi nikigombea kinondoni, ndio maana tunasisitiza kuunganisha nguvu kupambana na CCM...huwezi kushindana na hao jimbo lolote dar mkiwa vipande..
Amka wewe mtumishi FAKE wa mungu.
Huyo dereva wa malori anaweza kuhongwa papuchi na ali IMA akaachia jimbo