mambo sasa hadharani. ni hesabu rahisi za logic.
ni hivi...
kwa siasa za ndani na nje ya CCM, Makonda ni taswira ya JPM.
huko Kigamboni, Makonda kaambulia 34.76% ya kura.
hiyo ndiyo opinion ya wana CCM wa Kigamboni dhidi ya Makonda (mirroring JPM).
nina uhakika hiyo ndiyo pia verdict ya wana CCM katika mkuu wao majuzi kule Dodoma, kwamba ndani ya mioyo ya wana CCM, JPM anakubalika kwa 34.76% tu na siyo 100%.
uchaguzi mkuu October ungekuwa huru, JPM asingeweza kuambulia hata 30%.
upinzani over to you.
ni logic rahisi tu
Zitto John Mnyika CHADEMA ACT Wazalendo