Yes!

JESUS IS LORD[emoji120]

Kama Kigamboni bwana yule kapeta, sasa naanza kuamini maneno ya Kigogo2014 wa twitter...kuwa bwana yule anaenda kupewa nafasi nyeti, na possibly mrithi rasmi 2025.

Ikiwa na ukweli "wale wazee vetting" sijui watsemaje??!!
 
Kama Kigamboni bwana yule kapeta, sasa naanza kuamini maneno ya Kigogo2014 wa twitter...kuwa bwana yule anaenda kupewa nafasi nyeti, na possibly mrithi rasmi 2025.

Ikiwa na ukweli "wale wazee vetting" sijui watsemaje??!!
Mmmh! Labda kwa uteuzi wa viti maalum.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…