Hiyo kura moja sio yake mkuu kwani wanaopiga kura ni wajumbe wa mkutano mkuu wa jimbo/wilaya husika. Na najua yeye si mjumbe kwa hakika.

Na yawezekana kabisa kwa Kuonewa Huruma kwa Umaarufu wake Mr. Njaa Naombeni Msamaha hiyo Kura Moja amewekewa tu ili asiumbuke.
 
Hivi walienda kweli
Wale walikuwa wanataka kwenda Isreal, walikuwa wakijiita wasabato masalia. Hawakufanikiwa kwenda na baada ya kuondolewa maeneo ya airport ilibidi waishi katika pagale la msamaria mmoja kabla ya kila mtu kurudi alikotoka.
 
Na yawezekana kabisa kwa Kuonewa Huruma kwa Umaarufu wake Mr. Njaa Naombeni Msamaha hiyo Kura Moja amewekewa tu ili asiumbuke.
Dah, siasa ngumu sana. Brother P inabidi ajipange tena 2025 au asubiri uteuzi wa mkuu
 
Wadau, hivi huyo Selemani Nchambi ameruhudiwa vipi kugombea Ubunge na CCM wakati alihukumiwa na mahakama kwa kosa la kuhujumu uchumi?

Vv
Ukiwa ccm hakuna kitu kinashindikana, inauma sana
 
Napenda kuangalia mambo kwa upana na ukubwa wake, intelligence ya CCM kuona mbali na kushika hatamu ya kisiasa kwa miaka zaidi ya 100 mbeleni inaenda kukamilika zaidi. Kwa Mwenendo wa kisiasa nchini ulivyokua na ukuaji wa upinzani ulivyokua kwa kasi sana mpaka kuhatarisha afya ya CCM kwa miaka ijayo wakaja na mbinu mpya ya kununua wapinzani na kuwapa ahadi ya uongo saana. vijana wakaingiwa na tamaa na kuacha vyama vilivyowatoa kutoka Chini mavumbini na kujulikana zaidi na watu wengi wakajiona wao ndio wenyewe wakadiriki kuwatukana viongozi wao maana walijua kua hata wakienda huko watapata vinono.

Twende pamoja...
Hebu fikiria na ushangae karibia majimbo yote, hawa vijana wa chadema walikua na nguvu kuubwa ya kutetea jimbo Lao na kurudi bungeni tena kupitia chadema lakini wameahamia CCM na kupigwa ngumi za uso, upper cut pamoja chembe kidevu wamechezea ngumi nzito zaidi ya matumla au mwakinyo wamebaki wanalia tu wamejifungia ndani wanatoa makamasi tu wamekua kama condom wameshatumiwa wametupwa.

Tutegemee nini?...

Haya majimbo ambayo yalikua tishio kwa CCM 2015 now CCM Wanaenda kuyachukua kihurahisi saaana maana waliokuepo hapo ndio basi tena sidhani kama CHADEMA walijiandaa kwa mda mfupi kufanya replacement ya hao madogo.

Pole sana mdau wetu wa JF paschal mayalla kura 1? ...

Opondo jashirati.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti Mungu ana mipango na yey ndobmaan anpitisha ktk majaribu ili kuuvaa ufalne, yaaan n vituko show
usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako, huyu BASHITE ana damu za watu mikononi mwake, alimtukana yule dada eti kisa ana mimba na yeye alikuwa hajaenda USA kupandikiza ya KEEGAN, huyu dogo noi zero brain as per Gwajima.
 
Kwa Assumption ni kwamba kama wewe ni mwanachama hai wa chama na umekuwa kwenye shughuli ya kukijenga chama na kutumikia wananchi.

Hizo dakika kumi ni kwamba unawajulisha watu kwamba unagombea na unaomba kura zao ili uendeleze kufanya uliyokuwa unawafanyia.

Tatizo ni hawa wazamiaji wanajiunga na chama juzi hawajui hili wala lile, ndo wanaofanya uamini hizi dakika ni chache.

Kwanza haikutakiwa hata mtu ufanye kampeni kabisa kama wewe ni mtu uliyekuwa kwenye shughuli za chama
 
Kama Mashinji angekuwa na akili this time angepata ubunge kupitia CHADEMA kiurahisi kabisa.
Alishapewa milioni 200 na kuhakikishiwa ubunge, kipindi hicho akili zilihamia kichwa cha chini, sasa zitaanza kurudi kichwa cha juu.
 
usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako, huyu BASHITE ana damu za watu mikononi mwake, alimtukana yule dada eti kisa ana mimba na yeye alikuwa hajaenda USA kupandikiza ya KEEGAN, huyu dogo noi zero brain as per Gwajima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu wote chaliiiiiih sasa subiri commedy uwiiiiiih
 
Naona kiongozi itikadi za siasa zimeshakutia upofu kuona kila mtoa maoni tofauti na fikra zako ni CHADEMA, kwa nini usifikiri mimi ni ACT, CUF etc.

By the way, kama umefuatilia mchakato msimamizi ametangaza live namnukuu "Hapa hatutangazi mshindi, mshindi atatangazwa na kamati kuu. Hivyo sitarajii atakayeongoza kwenye maoni kufanya sherehe kwani sote lengo letu ni moja tu, kumng'oa Halima Mdee. Hivyo kamati kuu itapendekeza jina moja litakaloweza kutuletea ushindi"

Na kama umepita katika sayansi ya siasa, lengo la chama chochote cha siasa ni kukamata dola na kile chenye dola ni kulinda nafasi yake. Suala la ilani linakuja namba 2 ikiwa ni (how) chama chenye dola kitafanya kupata legitimacy ya kulinda dola, kwa hiyo mtu yeyote anayepitishwa ni lazima awe anauzika miongoni mwa wanachama na wasio wanachama ili kushinda chaguzi na hiyo ndio logic behind kwa nini kura za maoni si za mwisho.

Acha kuwa kilema wa fikra kwa kutizama hoja kwa jicho la kiitikadi, siasa ni sanaa na sayansi pia. Samahani kama nitakuwa nimekukwaza anyway.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…