Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jimbo la Chunya jaman
Jee hiyo Familia ya Lowassa, unawaitaje.Julius Kalanga ni miongoni mwa political harlots. Acha aisome namba.
Ze karangaNani msaliti hapa!
Jimbo gani??
ero kamano ainya, okajaluo asedak kabwani miaka ya 90. Awinjo dholuo te mabher kabisa to okanyar wuoyo mabher. Nimemiss sana nyama choma ya kondoo na ugali wa udaga asubuhi na mapema. Hahahahahaha, Waluo ni wakarimu sana.Machieg'ni jatelo.
Kwenda kule Chademraaaaaaaaaaiiiii
Hii nimeipenda bure tu
Wengine wa sotaMachieg'ni jatelo.
HahahahaaaaaaaaNakuona ulivyo damshi leo pale kawe kwa kumalizia makomboView attachment 1512898
Machieg'ni jatelo.
Vip cyprian majura msiba jimbo la mwibara huko bunda hali ikoje? Mchuano kati yake na kangi lugola?Majimbo hapo mengi sana hata jimbo la chatto angeshinda tu
Kwani hakupata kiinua mgongo?!Kalanga alinunuliwa kwa ahadi hewa sasa yamemkuta
Tutakosaje mkuu hii ni Tanzania yetu😆😆Dadeeeki kina Onyango mpooo?
Kweli kabisa,Jimbo kama la kawe, kamati kuu inabidi iwe makini sana!! Mtu anaweza akashinda ndani ya chama lakini hana mvuto kwa wananchi!! Kumshinda Mdee inabidi apatikane mtu mwenye uwezo wa kuchukua kura kwa CCM na CHADEMA. Kwa kawe, Gwajima anafaa sana nikilinganisha na wengine...
Mdee ataondoka asubuhi na mapema...
Walijua kupita ni rahisi tatizoHata Kama Tunaichukia CCM Lakini Tukubali CCM Ni Mafundi Wa Kugonga Watu Spana, Yaani Dkt Mashinji Ni Wakulamba Kura 2 Tu? Huyu huyu Dkt Mashinji Aliyekua Katibu Mkuu CHADEMA? Kura Mbili Kweli? Wajumbe Mungu Anawaona [emoji23][emoji23]