Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Hahaha kashinda ubunge au kura za maoni kuomba ridhaa kugombea ubunge?
 
Machieg'ni jatelo.
ero kamano ainya, okajaluo asedak kabwani miaka ya 90. Awinjo dholuo te mabher kabisa to okanyar wuoyo mabher. Nimemiss sana nyama choma ya kondoo na ugali wa udaga asubuhi na mapema. Hahahahahaha, Waluo ni wakarimu sana.
 
Nakuona ulivyo damshi leo pale kawe kwa kumalizia makombo
Kwenda kule Chademraaaaaaaaaaiiiii
FB_IMG_1595186692594.jpeg
 
Mawakala wa miamala ya Pesa...wanaweza kuwa wameshiriki ama watashiriki...kuruhusu 'takirima' kutumika bila kujua ama kwa kujua. Pia zawadi za mablanketi ya kilo 2 mpaka 3.5, vyombo vya ndani kama sahani, vikombe, nakadhalika kwa kutumia mawakala wa kisiri wa watia nia navyo yawezekana vilitumika ama vitatumika kushawishi uungwaji mkono (nawaza sina ushahidi).

Mapambano dhidi ya rushwa ni makali sana.
 
Jimbo kama la kawe, kamati kuu inabidi iwe makini sana!! Mtu anaweza akashinda ndani ya chama lakini hana mvuto kwa wananchi!! Kumshinda Mdee inabidi apatikane mtu mwenye uwezo wa kuchukua kura kwa CCM na CHADEMA. Kwa kawe, Gwajima anafaa sana nikilinganisha na wengine...

Mdee ataondoka asubuhi na mapema...
Kweli kabisa,
Gwajima atammudu Mdee kuliko huyo Furaha Dominic.
 
Hata Kama Tunaichukia CCM Lakini Tukubali CCM Ni Mafundi Wa Kugonga Watu Spana, Yaani Dkt Mashinji Ni Wakulamba Kura 2 Tu? Huyu huyu Dkt Mashinji Aliyekua Katibu Mkuu CHADEMA? Kura Mbili Kweli? Wajumbe Mungu Anawaona [emoji23][emoji23]
Walijua kupita ni rahisi tatizo
Wajumbe we CCM ni wengi CDM kupita ukiwa unajulikana ni rahis
 
Back
Top Bottom