Ndio malipo ya usaliti hayo, watu waliumizwa sana kuwapambania washinde then wanakuja kuzingua kizembe.
Alafu hawahawa...hutupigia vijana kelele vijana tujiajiri...Huyu salma hapana,tunamfuta awaachie vijana,tamaa gani hizi jmn
JESUS IS LORD[emoji120]
Kisha anaondoka lini?
Inawezekana akawa mpwa kweli.... ila anaonekana kuwa na uelewa, ukomavu na uwezo binafsi. Mdogo lakini hana mihemko🤗🤗CV yake ni mpwa wa mzee baba jiwe
Labda ataapishwa kama rais wa tz ya mitandaoniAtaondoka kwenda kufanya ziara za kidiplomasia kama rais wa JMT mara baada ya kuapishwa
Whaaaaat?! Yaani ndo sera zake hizo?! Sasa umaarufu wake kwa akina WizKid kutamsaidia vp angalau mtu wa Mkuyuni let alone jimbo zima la Morogoro?!
Yale yale ya Pascal Mayalla ya kutoa 10M kwa kila kata!!!! We Pasco, hivi hizi tuhuma ni za kweli kwamba umeahidi 10M?! Sasa ndugu yangu si ungeniambia bhana niwe Political Strategist wako?!
Yaaani kutoka first lady kote hajatosheka
Arusha tayari lema ndio mbunge. Naamini hata mbeya mjini hakuna wa kumuua jongwe
Ukiacha mambo yote ya Sugu kuwa na ngome yenye nguvu na kukubalika Mbeya, Watu wa Mbeya hawakubali kuongozwa na mwanamke.
Labda ataapishwa kama rais wa tz ya mitandaoni
Jitu Patel kaangukia pua jimbo la babati vijijini
Banyambala hawataki mambo ya kijinga jinga kujikweza kuwa yeye ni bora kuliko waliomchagua!! Sasa aende akale hizo degree zake za mature age!!Ati nimeshiba
Ati nilikuwa na mishahara maratatu ya bungeletu nani kakuuliza
Aisee hii aibu kubwa sanaa
Wanyakyusa ccm oyeeee
Ttununuuuuuuuu
Ahsanten kwa kazi nzuri
Et spritus tua!Naomba nitoe neno:
Itakapoketi Kamati kuu, Uncle Eng James Nyabakari atapitishwa.
Reason: Tanroads' breed (Eng Kijazi, Eng Mfugale, Eng Kakoko, Eng Nditiye........ Kitchen cabinet ya 'HUYU')!
Dominus Vobis..
Nadhani wanataka kutumia figisu kumpitisha ila kwa Mbeya patachimbika aisee hawa jamaa ni watata sana.Haswa hilo ndiyo jambo ambalo washauri wa mambo ya kisiasa naona hawakumtendea Tulia
Asante kwa taarifa!Official: Jimbo la Lupa (Chunya)
Kasaka kashinda kwa kura nyingi sana dhidi ya mbunge anayemaliza muda wake Mwambalaswa.
Note:
Nikipata matokeo (numbers) nitaweka
Cc Christine1
Insemekana mshindi ni mpwa wa Baba.Binafsi natabiri maamuzi magumu yatafanywa na gwajima ndio mgombea wa sisiemu kwa kawe ktk kiti cha ubunge. Ni lazima kuangalia anavyokubalika kwa wapiga kura wa jimbo sima sio pale kawe ndani ya sisiemu. Wakofanya mzaha mdee anachukua jimbo mapema tu.
Mkuu, Sugu kushindwa lazima figisu ifanyike ya uhakika. Yawezekana atakayetangazwa mshindi akawa Dr Tulia lakini lazima kila aina ya hila ifanyike.Ila ukweli ni kwamba chadema inaenda poteza majimbo mengi zaidi ichaguzi huu. Kama kawe kamati ya sisiemubitamuacha huyu dominic mdee atashinda ila anguko bado lipo pale pale! Unaweza zuga ila wajua fika mlima ulivyo mkali kwa lema na sugu ktk lutetea viti vyao!