Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Huyo wachana naye maana kwa sasa anasumbuliwa na njaa ya uzeeni, hata wakati mwingine akili zake hazifanyi kazi.
Whaaaaat?! Yaani ndo sera zake hizo?! Sasa umaarufu wake kwa akina WizKid kutamsaidia vp angalau mtu wa Mkuyuni let alone jimbo zima la Morogoro?!

Yale yale ya Pascal Mayalla ya kutoa 10M kwa kila kata!!!! We Pasco, hivi hizi tuhuma ni za kweli kwamba umeahidi 10M?! Sasa ndugu yangu si ungeniambia bhana niwe Political Strategist wako?!
 
Haswa hilo ndiyo jambo ambalo washauri wa mambo ya kisiasa naona hawakumtendea Tulia
Ukiacha mambo yote ya Sugu kuwa na ngome yenye nguvu na kukubalika Mbeya, Watu wa Mbeya hawakubali kuongozwa na mwanamke.
 
MKUTANO MKUU WA JIMBO LA LA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM JIMBO LA BUNDA, MKUTANO HUU WA UCHAGUZI UMEFANYIKA LEO TAREHE 21/7/2020, KATIKA UKUMBI WA MAKONGORO SEKONDARI, JIMBO HILI LA BUNDA TARAFA YA CHAMRIHO LINA KATA SABA
1. NYAMUSWA INA
2. KITARE
3. NYAMANG'UTA
4. MUGETTA
5. MIHINGO
6. SALAMA
MKUTANO HUU ULIKUWA NA JUMLA YA WAJUMBE HALALI 338
MATOKE NI KAMA IFUATAVYO: 1-BONIPHANCE M.GITERE KURA 162 NA ALOCYE KANDORE MUSIKA KURA 140, NAMBA TATU SIMJUI KWA KWELI JINA GUMU
LAKINI KAKA YETU FYEKA SUMERA AKAPATA KURA 4
 
Ati nimeshiba

Ati nilikuwa na mishahara maratatu ya bungeletu nani kakuuliza

Aisee hii aibu kubwa sanaa

Wanyakyusa ccm oyeeee

Ttununuuuuuuuu

Ahsanten kwa kazi nzuri
Banyambala hawataki mambo ya kijinga jinga kujikweza kuwa yeye ni bora kuliko waliomchagua!! Sasa aende akale hizo degree zake za mature age!!
 
Jamani hivi jimbo kwa olesendeka, ni nani aliyemaliza muda wake,aliyekuwa mbunge ni nani ?
Na yeye alihama cdm au?

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Official: Jimbo la Lupa (Chunya)
Kasaka kashinda kwa kura nyingi sana dhidi ya mbunge anayemaliza muda wake Mwambalaswa.

Note:
Nikipata matokeo (numbers) nitaweka
Cc Christine1
Asante kwa taarifa!
Duh sa itakuje[emoji374][emoji373][emoji375][emoji1009][emoji23]

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Binafsi natabiri maamuzi magumu yatafanywa na gwajima ndio mgombea wa sisiemu kwa kawe ktk kiti cha ubunge. Ni lazima kuangalia anavyokubalika kwa wapiga kura wa jimbo sima sio pale kawe ndani ya sisiemu. Wakofanya mzaha mdee anachukua jimbo mapema tu.
Insemekana mshindi ni mpwa wa Baba.
Mshindi wa pili nae ni mzuri. Alikuwa mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki.
Gwajima hana kitu. Sana sana atagawa kura kutokana na imani za watu na madharau yake.
 
Ila ukweli ni kwamba chadema inaenda poteza majimbo mengi zaidi ichaguzi huu. Kama kawe kamati ya sisiemubitamuacha huyu dominic mdee atashinda ila anguko bado lipo pale pale! Unaweza zuga ila wajua fika mlima ulivyo mkali kwa lema na sugu ktk lutetea viti vyao!
Mkuu, Sugu kushindwa lazima figisu ifanyike ya uhakika. Yawezekana atakayetangazwa mshindi akawa Dr Tulia lakini lazima kila aina ya hila ifanyike.
 
Back
Top Bottom