Natamani vyama vya upinzani vingekuwa walau na mchakato wa wazi namna hii, hamasa ni kubwa, awareness ni kubwa hata kwa wasio na mrengo wowote.
 
NAONA UPINZANI UNAPITA KIRAHISI SANA
 
Natamani vyama vya upinzani vingekuwa walau na mchakato wa wazi namna hii, hamasa ni kubwa, awareness ni kubwa hata kwa wasio na mrengo wowote.
Hii waige kwa kweli ni jambo jema, pia inasaidia kupromote wagombea kwenye maeneo yao na kuongeza hamasa ya uchaguzi mkuu hasa ukizingatia walipigwa pin kufanya siasa muda mrefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…