Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Duh me namuombea boss masache njelu kasaka apite tu uyu mzee amezidi kulala bungeni
 
MKUTANO MKUU WA JIMBO LA LA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM JIMBO LA BUNDA, MKUTANO HUU WA UCHAGUZI UMEFANYIKA LEO TAREHE 21/7/2020, KATIKA UKUMBI WA MAKONGORO SEKONDARI, JIMBO HILI LA BUNDA TARAFA YA CHAMRIHO LINA KATA SABA
1. NYAMUSWA INA
2. KITARE
3. NYAMANG'UTA
4. MUGETTA
5. MIHINGO
6. SALAMA
MKUTANO HUU ULIKUWA NA JUMLA YA WAJUMBE HALALI 338
MATOKE NI KAMA IFUATAVYO: 1-BONIPHANCE M.GITERE KURA 162 NA ALOCYE KANDORE MUSIKA KURA 140, NAMBA TATU SIMJUI KWA KWELI JINA GUMU
LAKINI KAKA YETU FYEKA SUMERA AKAPATA KURA 4
Huyu boniface si ndo alikuwa mbunge kafanya lipi la maana kwa wana bunda vijijini? Hiyo barabara iliyoishia yamuswa ameshindwa kushawishi serikali ili ipigwe rami hadi serengeti?
 

Sio ndugu tu ni mapacha

Mdogo Dotto ni waziri naona kamsaidia Braza kumng'oa mama wa watu Lorencia Bukwimba wakale keki ya taifa pamoja
0BEF4ACE-AC05-4DEA-B8C1-60AD550957E7.jpeg
 
Unatumia kigezo gani kusema Tulia lazima ashinde? Kwanini Sugu asishinde?
Sugu kushinda hilo liko wazi kabisa mkuu, nimesema yawezekana atakayetangazwa ni Dr Tulia. Soma vizuri mkuu na hapo ndo maana nikasema lazima figisu ya maana ifanyike. Sugu alitutesa sana timu Shitambala 2015, this time Tulia ana mkono toka juu na hapo ndio mwanzo wa sintofahamu.
 
Jerry Silaa anaongoza jimbo la Ukonga kwa kura 206. Channel ten wanaonesha LIVE hivi sasa. Ikumbukwe huyu alishindwa mwaka 2015 na Waitara wakati huo akiwa Chadema kwenye jimbo hilo hilo la Ukonga.
 
Sugu kushinda hilo liko wazi kabisa mkuu, nimesema yawezekana atakayetangazwa ni Dr Tulia. Soma vizuri mkuu na hapo ndo maana nikasema lazima figisu ya maana ifanyike. Sugu alitutesa sana timu Shitambala 2015, this time Tulia ana mkono toka juu na hapo ndio mwanzo wa sintofahamu.
Pia mimi nina wasiwasi Mkubwa ikiwa washindi hawa watatangazwa
Sugu
Mdee
Heche
Lema
Msigwa
 
Hamna tofauti ni Jitu Son Patel

Jitu Patel ni mtu mwingine na alishakimbia nchi nadhani ni wanted kwa zile tenda zake za Jeshi

Huyu wa babati ni Jitu Faraar Vraijalal Soni

Sijui hilo la Patel umelitoa wapi mkuu
 
Back
Top Bottom