Huyu boniface si ndo alikuwa mbunge kafanya lipi la maana kwa wana bunda vijijini? Hiyo barabara iliyoishia yamuswa ameshindwa kushawishi serikali ili ipigwe rami hadi serengeti?MKUTANO MKUU WA JIMBO LA LA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM JIMBO LA BUNDA, MKUTANO HUU WA UCHAGUZI UMEFANYIKA LEO TAREHE 21/7/2020, KATIKA UKUMBI WA MAKONGORO SEKONDARI, JIMBO HILI LA BUNDA TARAFA YA CHAMRIHO LINA KATA SABA
1. NYAMUSWA INA
2. KITARE
3. NYAMANG'UTA
4. MUGETTA
5. MIHINGO
6. SALAMA
MKUTANO HUU ULIKUWA NA JUMLA YA WAJUMBE HALALI 338
MATOKE NI KAMA IFUATAVYO: 1-BONIPHANCE M.GITERE KURA 162 NA ALOCYE KANDORE MUSIKA KURA 140, NAMBA TATU SIMJUI KWA KWELI JINA GUMU
LAKINI KAKA YETU FYEKA SUMERA AKAPATA KURA 4
Hawa ndugu!??View attachment 1512983
Sugu kushinda hilo liko wazi kabisa mkuu, nimesema yawezekana atakayetangazwa ni Dr Tulia. Soma vizuri mkuu na hapo ndo maana nikasema lazima figisu ya maana ifanyike. Sugu alitutesa sana timu Shitambala 2015, this time Tulia ana mkono toka juu na hapo ndio mwanzo wa sintofahamu.Unatumia kigezo gani kusema Tulia lazima ashinde? Kwanini Sugu asishinde?
Hivi zile story za kafara ni kweli?
Carbon-14Umempima kwa kipimo gani kujua ni fake
Huyu chambiri wa enzi za mzee ruksa au huyu ni mwanae?[emoji848][emoji848]ESTER MAHAWE 91
WEREMA CHAMBILI 77
PAULINA GEKUL 61
Wasaliti wote kazi wanayo
Pia mimi nina wasiwasi Mkubwa ikiwa washindi hawa watatangazwaSugu kushinda hilo liko wazi kabisa mkuu, nimesema yawezekana atakayetangazwa ni Dr Tulia. Soma vizuri mkuu na hapo ndo maana nikasema lazima figisu ya maana ifanyike. Sugu alitutesa sana timu Shitambala 2015, this time Tulia ana mkono toka juu na hapo ndio mwanzo wa sintofahamu.
Mavunde kabeba tena kwa kura 800+ kati ya 1000Jamani hivi Dodoma mjini bado hatujapata matokeo
Hamna tofauti ni Jitu Son Patel