Natamani NEC-Tanzania wahesabu hivi kura kwa uwazi,tuone mbivu na mbichi.Natamani vyama vya upinzani vingekuwa walau na mchakato wa wazi namna hii, hamasa ni kubwa, awareness ni kubwa hata kwa wasio na mrengo wowote.
Bibi Mary nagu Moto mwingine ule,wahanang hawahadaiki hata kidogoMary Nagu na Prof Kapuya vip nao?
Ni Mr Maboto
Ambaye serikali inaingiza asilimia kumi ya mishahara ya wafanyakazi kwenye account yake. Anaukwasi sio wa taifa hili.
Ambaye amekuwa analalamikiwa na watumishi kuwashikilia kwenye taasisi yake kwa mbinu zote ama kuwaachilia kwa masharti yanayo waumiza.
Anaye cheza vema na fursa hii ya fedha kichere kwa watumishi wa Umma kutunisha mfuko wake.
Ilikuwa Ni kama kumsukuma Mlevi ambapo amemdurusha mzee huyu kwenye ukumbi wa kupigia kura.
View attachment 1513086
Mtoto wa Stephen Wasira akisaini matokeo ya ubunge ya mzee wake baada ya mzee huyu kukimbia ukumbini kabla ya matokeo kutangazwa
Lakini pia hata hakuna members wa JF waziweke hapa.Aliyeanzisha hii thread alitakiwa kuwa na mtandao mkubwa wa vyanzo vya taarifa fikiria hadi sasa hakuna update ya baadhi ya mikoa yani Hana taarifa ya majimbo yote ya mikoa fulani ilhali majimbo hayo yamefanya uchaguzi tangu jana
Mungu Ibariki Tz - MITz
Kwa Mbeya wanajifariji tu kumng'oa Sugu sio issue ya kitoto patachimbika najua wanajipanga kuchakachua.Mkuu mimi Mbeya mjini ni mwenyeji, hicho unachosema hakiakisi picha halisi ya Mbeya mjini. Angalia kura alizopata Sugu 2015 alafu ndo useme wahuni wengi hawana kadi za kupigia kura. Nilishauri Tulia angegombea kwao Rungwe (kwa Mh Sauli) pengine ingekuwa rahisi zaidi kwake. Tusubiri uchaguzi mkuu.
Babu tale kashinda kwa kura 321 dhidi ya naibu waziri wa kilimo mghumba
Tarime vjjijini mbunge john heche, arusha godless lema, mbeya mjini Joseph mbilinyi. Hili haliihitaji mjadala.Mwita waitara ameshinda lakini oktoba hatoboi
Natamani NEC-Tanzania wahesabu hivi kura kwa uwazi,tuone mbivu na mbichi.
Mwita Waitara ana kibarua pevu sana hapo Tarime vijijini, yetu macho na masikio. Hilo jimbo naona kama CCM hawana interest nalo sana!!Tarime Vijijini
Mwita Waitara 291
Eliakimu Maswi 128
Maswi anapenya,Waitara atagaragazwa vibayaTarime Vijijini
Mwita Waitara 291
Eliakimu Maswi 128