Embu fafanunua vizuri Mkuu, Ukisemaccm imenunuliwa mahali fulani inanunuliawaje?
Kule Jimbo la Moshi mjini pia ccm imenunuliwa na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kilimanjaro kumuuzia Jimbo mfanyabiashara ya mabasi ibra line. Kule singida nako chama kinauzwa kwa wafanyabiashara.Hali ni tete
 
KAMA NDIO HIVYO. USHINDI WAKE UTATENGULIWA. TENA WAKIAMUA KUUTENGUA TU WANAWEZA KUTUMUA TAKUKURU NK
 
Kwani kitila katia nia jimbo lipi?

JESUS IS LORD[emoji120]
Nilisoma hapa alitia nia jimbo moja la Dar. Hii ni matarajio ya wengi. Siku za nyuma mara kwa mara amekuwa akihusishwa na ubunge Iramba 2020. Lakini baada ya Nchemba kupewa Uwaziri akaamua kubadilisha gia angani. Nadhani aliona kama mtu amepewa Uwaziri tena karibia na uchaguzi kuna uwezekano hata akifanya vizuri kwenye kura za maoni jina linaweza lisirudi kutoka kwenye vikao vya Chama!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…