Hahaha.. Hapa hata sitii neno maana sijui kama ni kweli bwana.. Nilivyokuwa naona anaonyesha malove hivi kwa Shammy.... Oooh
Weee usitie tyuuh neno dea, ila tunaojua ukweli acha iwe hivyoooh.
 
Umesahau kumuambia waganga asiwasahau bwana la sivyoo awe mtu wa Mungu kweli kweli.
 
Kwani wanaokwenda kupiga kura October, 2020 Jimbo la Tarime vijini wamezaliwa wapi?
Upepo unaonesha Waitara atapata support ya kura kutoka koo za Wairegi na wanyamongo ambao ni wengi kidogo kuliko wale wa ukoo wa Heche.
 
Eeeh umeshusha nondo hatari aisee ngoja niisevu for the use in the near future... Lol naweza tembelea upepo wa umaarufu wa babu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na hivi kule bado giza tororooo yaani mjengoni kiulaaani mtu ukiwa serious....
 
Mchuano Mkubwa ulikua kwa Mr. Denis aliyekua Katibu wa Mbunge aliyemaliza muda wake Ndg Anna Tibaijuka.

Mchuano huu ulikua dhidi ya Mwalimu Felix Bwahama ambae alikua Mkuu wa Shule ya Babro Johnson (KAJUMULO) inayomilikiwa na Anna tibaijuka.

Wagombea walikua wengi lakini wenye Nguvu walikua wawili wakifuatiwa karibu na DMO wa Hospital ya Muleba.

Kiufupi ni kwamba :
Siku ya Jumapili wajumbe walikua wanapewa Tsh. 150,000 na Mama Anna ili wamchague Mr.Denis
 
We ulikuwa kwa wale walioshindwa bila shaka,uko kijani rushwa ni kawaida yenu,Takukuru si wapo,mngetoa taarifa uko,
 
Unashangaa nn Wakati rushwa na ccm ni km uji na mgonjwa
 
Je Takukuru hawakunusa hapo ?Tunaambia hao jamaa wanachapa kazi kweli kweli imekuwaje rushwa zilizagaa huko?
Naamini Kama ndivyo kamati kuu itafanya kazi yake ya kuwafyekelea mbali ili haki itamalaki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…