Mambo liveLive matokeo Kigamboni CCM
Hata mi plus kyelaMe naitaji ya chunya jaman
Acheni kupotosha ndo zinahesabiwaKigamboni, Makonda 319 Ndungulile 69
Na kapitaaaaaaaaaahNdugulile anaweza pata kura za huruma sababu katumbuliwa na juzi kafiwa na baba yake hivyo wanachama wanaweza muonea huruma wakampitisha.
Basi ushindi upo kama wewe umecoment hivi basi ushindi upo
Na kapitaaaaaaaaaah
Kigamboni, Makonda 319 Ndungulile 69
Kigamboini vipi mbona kunatetesi mwanamfalme chaliHaya kumeshakucha tena La mgambo likilia ujue kuna jambo.
Kwa mujibu wa ratiba ya CCM, leo na kesho ni siku ya Mikutano Mikuu ya CCM ya Majimbo/Wilaya kupiga kura za maoni za wagombea wa ubunge na ujumbe wa baraza la wawakilishi
Kwa Mujibu wa Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Magufuli waliochukua kugombea nafasi za Ubunge na uwakilishi ni 10,367. Waliokamilisha kujaza fomu na kurejesha ni 10,321.
Watanzania wataelekeza zaidi macho na masikio yao maeneo yenye upinzani mkali kama Kigamboni, Arusha mjini, Simanjiro, Kyela, Mbeya mjini, Mwibara, Misungwi, Same Mashariki, Tunduma, Tarime Vijijini na Ubungo ni baadhi ya maeneo yanayoangaliwa kwa jicho la tatu.
------UPDATE: MATOKEO YA AWALI-----
1. DAR ES SALAAM
Kinondoni
Abbas Tarimba - 171
Idd Azann kura - 77
George Wanyama - 32
Maulidi Mtulia - 11
Kigamboni - Kura 398
Kawe
Ilala
Sophia Edward Mjema 105
Mussa Azzan Zungu 148
Henry Sato Massaba 4
Rahma Ngassa 6
Grace Buberwa 6
Kibamba
Ubungo
Kinyerezi
Ukonga
2. SINDIDA
Iramba Magharibi
1. Eng. CC Mkali - 4
2. Dr. Mwigulu Nchemba - 27
3. Monica Yongolo --8
4. Lyanga Martin 3
5. Dr Timoth Lyanga - 13
6. Paulo Mkoma 2
7. Abdala Matanga - 3
8. Robert Jackson Makala - 5
9. Vicent Shomela - 3
10. Eng. Jumbe Katala 11
12. Mwl Noel Kingu - 4
13. Matahyo Samson - 9
14. Elia Mpesa 1
15.Elibariki Ndau 1
16. Paulina Makamba - 2
17. Adv. John W. Jacob - 16
18. Sadath Nkuku - 1
19. Herijema Nalaila - 6
20. Babu Khamis Bulali - 3
21. Amani Irunde 1
3. TABORA
Nzega Mjini - Kura 376
Bashe 367
Ruangisa 1
Mashili 6
Wengine 2
4. PWANI
Kisarawe
1.Hassan Bangusilo- 1
2.Fransis Gosbert -1
3.Mohamed Masenga-1
4.Ally Goha -2
5.Zemba Mumbi -2
6.Zainabu Zowange-2
7.Chaulembo -3
8.Seleman Jafo - 588
5. IRINGA
Mafinga Mjini
Cosato Chumi - 135
Dr. Bazil Tweve - 122
Isimani
Lukuvi - 453
Kiyoyo - 16
Mwilinge - 5
Kidunye - 5
Kalinga - 4
Mfilinge - 4
Kushoka - 0
Chengula - 0
Gange - 0
6. TANGA
Tanga Mjini
Bumbuli
Mlalo
Pangani
Jumaa Awesso - 281
Kilindi
Mkinga
Handeni Vijijini
Muheza
Korogwe Mjini
Korogwe Vijijini
Lushoto
Handeni Mjini
7. GEITA
Bukombe
Doto Biteko - 555
8. MBEYA/SONGWE
Mbeya mjini - Kura 924
Tulia Ackson - 843
Vikita - 1
Mwakipesele - 11
Mwakaloge - 2
Mwaifani - 3
Bwiga - 1
Fugale - 1
Mabula - 16
Mwademba - 2
Wagombea wengine(23) - 00
Mbeya vijijini
Mbarali
Rungwe
Ileje
Mbozi
Vwawa
Momba
Tunduma
Chunya
Kyela
Busokelo
Lupa
9. MANYARA
Babati Mjini
Babati Vijijini
Hanang’
Kiteto
Mbulu Mjini
Mbulu Vijijini
Simanjiro
10. KILIMANJARO
Hai
Siha
1. Dkt. Godwin Mollel - 58
2. Justine Kweka - 85
3. Lameck Munuo - 91
4. Aggrey Mwanry - 151
5. Eng. Betson Maimu - 231
Moshi Mjini
Mwanga
Same Mashiriki
Same Magharibi
Moshi Vijijini
Vunjo
Rombo
11. MOROGORO
Gairo
Kilombero
Kilosa
Mikumi
Mlimba
Morogoro Kusini
Morogoro Kusini Mashariki
Morogoro Mjini
Mvomero
Ulanga Magharibi/ Malinyi
Ulanga Mashariki
12. MTWARA
Mtwara Mjini
Mtwara Vijijini - kura 847
Aman Mtepa kura 1
Solomon Mushi 1
Said Nyengedi 1
Zhia Ally 2
Said Tewa 4
Privatus Mutungi 4
Rashid Nandonde 5
Yunus Nangapomi 5
Kais Mohamed 5
Augostino Nguli 11
Mohamed Lilanga 38.
Olivernus poul 139
Seleman Mwamba 191
Hawa Ghasia 440.
Nanyamba
Nanyumbu
Ndanda
Newala Mjini
Newala Vijijini
Tandahimba
Masasi
Lulindi
13. LINDI
Kilwa Kusini
Kilwa Kaskazini
Lindi Mjini
Liwale
Mtama
Mchinga
Nachingwea
Ruangwa
14. KATAVI
Katavi
Kavuu
Mpanda Mjini
Mpanda Vijijini
Nsimbo
15. NJOMBE
Njombe Kaskazini
Njombe Kusini
Makambako
Wanging'ombe
Makete
Ludewa
Hongera yake Ex Mkuu wa MkoaKigamboni, Makonda 319 Ndungulile 69
Jamani, tunaomb akujua kura za maoni kw Arusha Mjini, Kawe, Moshi Mjini, Misungwi, Ilemela, Nyamagana, Musoma Mjini Dodoma
Hapo lazima akumbuke u Dc,hongera kwa kujaribu,ngumu sana kumng'oa 'muhuni' zungu,labda atake yeyeSophia Edward Mjema 105
Sema kweli!Ndungulile 368
Makonda 198 [emoji23][emoji23]
Napiga bia hapa
Mdogo wake Deo filikunjombe, anaitwa phili[ Filikunjombe amepata ngapi? huyu anahombea Ludewa na ndiye kapandikizwa pale TCRA kudukua wapinzani pamoja na akina Makamba, kinana na nappe.Haya kumeshakucha tena La mgambo likilia ujue kuna jambo.
Kwa mujibu wa ratiba ya CCM, leo na kesho ni siku ya Mikutano Mikuu ya CCM ya Majimbo/Wilaya kupiga kura za maoni za wagombea wa ubunge na ujumbe wa baraza la wawakilishi
Kwa Mujibu wa Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Magufuli waliochukua kugombea nafasi za Ubunge na uwakilishi ni 10,367. Waliokamilisha kujaza fomu na kurejesha ni 10,321.
Watanzania wataelekeza zaidi macho na masikio yao maeneo yenye upinzani mkali kama Kigamboni, Arusha mjini, Simanjiro, Kyela, Mbeya mjini, Mwibara, Misungwi, Same Mashariki, Tunduma, Tarime Vijijini na Ubungo ni baadhi ya maeneo yanayoangaliwa kwa jicho la tatu.
------UPDATE: MATOKEO YA AWALI-----
1. DAR ES SALAAM
Kinondoni
Abbas Tarimba - 171
Idd Azann kura - 77
George Wanyama - 32
Maulidi Mtulia - 11
Kigamboni - Kura 398
Kawe
Ilala
Sophia Edward Mjema 105
Mussa Azzan Zungu 148
Henry Sato Massaba 4
Rahma Ngassa 6
Grace Buberwa 6
Kibamba
Ubungo
Kinyerezi
Ukonga
2. SINDIDA
Iramba Magharibi
1. Eng. CC Mkali - 4
2. Dr. Mwigulu Nchemba - 27
3. Monica Yongolo --8
4. Lyanga Martin 3
5. Dr Timoth Lyanga - 13
6. Paulo Mkoma 2
7. Abdala Matanga - 3
8. Robert Jackson Makala - 5
9. Vicent Shomela - 3
10. Eng. Jumbe Katala 11
12. Mwl Noel Kingu - 4
13. Matahyo Samson - 9
14. Elia Mpesa 1
15.Elibariki Ndau 1
16. Paulina Makamba - 2
17. Adv. John W. Jacob - 16
18. Sadath Nkuku - 1
19. Herijema Nalaila - 6
20. Babu Khamis Bulali - 3
21. Amani Irunde 1
3. TABORA
Nzega Mjini - Kura 376
Bashe 367
Ruangisa 1
Mashili 6
Wengine 2
4. PWANI
Kisarawe
1.Hassan Bangusilo- 1
2.Fransis Gosbert -1
3.Mohamed Masenga-1
4.Ally Goha -2
5.Zemba Mumbi -2
6.Zainabu Zowange-2
7.Chaulembo -3
8.Seleman Jafo - 588
5. IRINGA
Mafinga Mjini
Cosato Chumi - 135
Dr. Bazil Tweve - 122
Isimani
Lukuvi - 453
Kiyoyo - 16
Mwilinge - 5
Kidunye - 5
Kalinga - 4
Mfilinge - 4
Kushoka - 0
Chengula - 0
Gange - 0
6. TANGA
Tanga Mjini
Bumbuli
Mlalo
Pangani
Jumaa Awesso - 281
Kilindi
Mkinga
Handeni Vijijini
Muheza
Korogwe Mjini
Korogwe Vijijini
Lushoto
Handeni Mjini
7. GEITA
Bukombe
Doto Biteko - 555
8. MBEYA/SONGWE
Mbeya mjini - Kura 924
Tulia Ackson - 843
Vikita - 1
Mwakipesele - 11
Mwakaloge - 2
Mwaifani - 3
Bwiga - 1
Fugale - 1
Mabula - 16
Mwademba - 2
Wagombea wengine(23) - 00
Mbeya vijijini
Mbarali
Rungwe
Ileje
Mbozi
Vwawa
Momba
Tunduma
Chunya
Kyela
Busokelo
Lupa
9. MANYARA
Babati Mjini
Babati Vijijini
Hanang’
Kiteto
Mbulu Mjini
Mbulu Vijijini
Simanjiro
10. KILIMANJARO
Hai
Siha
1. Dkt. Godwin Mollel - 58
2. Justine Kweka - 85
3. Lameck Munuo - 91
4. Aggrey Mwanry - 151
5. Eng. Betson Maimu - 231
Moshi Mjini
Mwanga
Same Mashiriki
Same Magharibi
Moshi Vijijini
Vunjo
Rombo
11. MOROGORO
Gairo
Kilombero
Kilosa
Mikumi
Mlimba
Morogoro Kusini
Morogoro Kusini Mashariki
Morogoro Mjini
Mvomero
Ulanga Magharibi/ Malinyi
Ulanga Mashariki
12. MTWARA
Mtwara Mjini
Mtwara Vijijini - kura 847
Aman Mtepa kura 1
Solomon Mushi 1
Said Nyengedi 1
Zhia Ally 2
Said Tewa 4
Privatus Mutungi 4
Rashid Nandonde 5
Yunus Nangapomi 5
Kais Mohamed 5
Augostino Nguli 11
Mohamed Lilanga 38.
Olivernus poul 139
Seleman Mwamba 191
Hawa Ghasia 440.
Nanyamba
Nanyumbu
Ndanda
Newala Mjini
Newala Vijijini
Tandahimba
Masasi
Lulindi
13. LINDI
Kilwa Kusini
Kilwa Kaskazini
Lindi Mjini
Liwale
Mtama
Mchinga
Nachingwea
Ruangwa
14. KATAVI
Katavi
Kavuu
Mpanda Mjini
Mpanda Vijijini
Nsimbo
15. NJOMBE
Njombe Kaskazini
Njombe Kusini
Makambako
Wanging'ombe
Makete
Ludewa
Kuchunga ng'ombe ni hobby tu, akipenda atafanya hivyo ili kudumisha mila, au akiamua ataongeza mtaji wa pesa ya pensheni kwenye shughuli zakeAcha kujidanganya mkuu. Mbunge mstaafu na mapesa kibao ya pensheni tena ni daktari anaanzaje kuchunga ng'ombe?