Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Mchuano mkali niko live Channel 10. Nani alilipia live counting Kigamboni? Naona interest ni kubwa sana huko Kigamboni. Sitoi jicho aisee mpaka kieleweke kipenga cha mwisho.
 
Jamani naomba kuuliza hivi sasa makonda ni sawa na mimi tuu enh. Kwamba hata kwenye kivuko anashuka anaingia lobby kamasisi tuu!! Kwamba analipa sh kumi as 200 ya kivuko? Ama bado ana priveleji la mkuu wa mkoa mstaafu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaaani lol
 
Oya mbona na Wewe sasa ' Unanichanganya ' tena? Nimeshaambiwa Makonda ' Kaangushwa ' na Ndugulile kapita mbona Sikuelewi tena sasa?
B4D4A292-1942-4263-9D1D-730D6B75E4D6.jpeg


Hao ndio wanamalizia
 
Back
Top Bottom