Mchuano mkali niko live Channel 10. Nani alilipia live counting Kigamboni? Naona interest ni kubwa sana huko Kigamboni. Sitoi jicho aisee mpaka kieleweke kipenga cha mwisho.
 
Jamani naomba kuuliza hivi sasa makonda ni sawa na mimi tuu enh. Kwamba hata kwenye kivuko anashuka anaingia lobby kamasisi tuu!! Kwamba analipa sh kumi as 200 ya kivuko? Ama bado ana priveleji la mkuu wa mkoa mstaafu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaaani lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…