THOMASS SANKARA
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,055
- 4,695
Jenista kashinda kwa kura 848Jsmaniii peramiho imekuaje?
Weee acha tu sijawah hata kuonja soda, ila leo heinken itanihusu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani Faustine anatajwa sana. Mkwe wangu angekuwa mjamzito akipata grandson ningemuita Faustine ningemuomba awe Baba wa Ubatizo. Anaelekea kuwatoa watanzania kimasomaso.
Leo najua kuna watu watakunywa mpaka wasahau nyumbani[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hajitambui huyo yani Facebook anaiona ni ndogo kwa forum kama JF hahahahaBilionea Strive Masiyiwa anatumia FB ije kuwa huyu Jamaa? Acha ushamba...
Mollel nae alikuwa CCM kabla ya kwenda Chadema kisha kurudi CCM, Ila kaangukia puaWahamiaji amambao walikuwa CCM, wakahamia Upinzani, Then wakarudi Tena CCM uhakika wa Kushinda unaweza kuwepo; Itategemea na Potential zao Mfano Cecil Mwambe
Nikiulizwa kisa cha moyo kunienda mbio hivii nitaambia nini watu??Nakemea na mimi yaani na kimuhemuhe kama mimi mke wa mtia nia hata mmoja
Kwisha habari, basi kuna binti yake humu anajifariji kuwa atateuliwa apewe uwaziri.Kimei si kashindwa,au uzushi?
JESUS IS LORD[emoji120]
Achana na Lemutuz aisee. Mbuzi mnachinjia wapi?Mkuu huyo ndiyo ' ameshakwisha ' na kuna Watu kama Wawili hivi ' wamemdanganya ' kuwa ' anakubalika ' huko na ' wamemlia ' mno Pesa zake.
Teh!!...Haya bhana.Utasababisha nifukuzwe uku bwana utaniita chit chat uko
Vijijini kama hauna connection nao sahau hata kama una hela na mjini na nchi inakujua. Huko watu wanajitambua nini wanataka.Wamarangu watu wa ovyo sana.. Yaani mnamuacha Kimei kweli?? Huyo Koola ndo nani?
Kimei kapigwa chiniKimei si kashindwa,au uzushi?
JESUS IS LORD[emoji120]
Patrobas Katambi hawezi toboa milele. Hata akishindanishwa na mbwa, bado mbwa atashinda.shinyanga mjini vipi wakuu. Patrobas katoboa au chali?
Nafasi za uteuzi ndani ya serikali ni nyingi mno.Mpango ukuzaliwa ili awe waziri wa fedha.Tuna imani na Filipo Mpango!
Kweliii. Nilisemaga hapa Magu hataangalia mtu usoni. SafiiiHuwezi kukuta uwazi wa namna hii chama chochote cha siasa Tz isipokuwa sisiemu ya jpm....
Nimeona wanasema kapita ubungoJamani Kitila mkumbo vp
JESUS IS LORD[emoji120]
Hivi huyu alikuwa chadema?Wapi mtulia chanzo cha muuaji wa akwilina
Huyu nae inatosha sasa.Jenista kashinda kwa kura 848
Mshindi wa pili ana kura 3