Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer , YEEE BABA
 
Kimei sio jina geni mpaka huko kijijini.. Wanamjua sababu aliwajengea CRDB kule Marangu mgombani kabisa..

Ndio maana nataka nimjue pia huyo Koola ni nani??
Huyu kilichomponza alidandia siasa uzeeni akadhani umaarufu au hela vitambeba, anyway vimembeba kiasi Ila haijatosha
 
Binafsi sijapenda kabisa kwa ccm kumrudisha tena ndungulile sisi wanakigambon hatumkubali kabisa huyu mtu hakuna alicho Fanya hatuna soko hatuna barabara nzur yani ccm mmpeteza jimbo tunampa mpinzani mnakera sanaaa

Majimbo mengi yapo hivyo, hatua kwa hatua.
 
Binafsi sijapenda kabisa kwa ccm kumrudisha tena ndungulile sisi wanakigambon hatumkubali kabisa huyu mtu hakuna alicho Fanya hatuna soko hatuna barabara nzur yani ccm mmpeteza jimbo tunampa mpinzani mnakera sanaaa
Nani kakwambia mbunge analeta pesa za kujenga miundombinu, Ndugulile oyeee.
 
Binafsi sijapenda kabisa kwa CCM kumrudisha tena ndungulile sisi wanakigambon hatumkubali kabisa huyu mtu hakuna alicho Fanya hatuna soko hatuna barabara nzur yani CCM mmpeteza jimbo tunampa mpinzani mnakera sanaaa
Tulia sindano isikukatikie!
 
Watia nia wanasaini fomu ya matokeo baada ya kura ya maoni kupendekeza watia nia kukamilika na baadaye rasmi mshindi kutangazwa

 
MAJINA YANAENDA 3
LINALORUDI SIRI YA KAMATI NK
HAPO NDIPO NA CHEKA NA SIASA
NGOJA NIKAMALIZIE DOMPOYANGU
 
Kujenga CRDB huko kijijini sio ishu, ishu aliweka close connection na wakazi wa huko? Wamempiga chini wana sababu hao waliopiga kura za kulpitisha, kama amgepita hapa off course kwenye ubunge angepita.
Lakini pia tofauti ya kura 9 sio kumpiga chini kiivo.

Ndio maana narudia palepale, Koola yeye ni nani? Kura za uchaggani zina mengi haswa koo, ukanda n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…