Wakuu Gwajima vipi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaaah jamani wadau lolKweli cheo dhamana, makonda mpole kanywea.
Mc: paul...
Makonda: mimi??
Mc: Sio paul wewe, yule mwingine rudi kakae?
Makonda: sawa!!
Indeed.Kwani rais ni kipimo cha Covid?
Hapo ndipo Mtulia ajue kabisa kwamba alishinda kwa nguvu ya UKAWAMtulia karibu ACT[emoji1]
Daaa Kwa vitabu nilivyoona vya Dr Ndungulile Obvious kampiga za chembe Makonda.Na ndungulile je kapata ngapi?
Ngugulile anakwenda kusaini matokeo sasa
mara paaap, Makonda kashindwa na kaamua kujiunga na chadema kuwa kapeni meneja wa lisu hahahahhahaha
Sasa safari hii minyukano itakua mikali zaidi coz wingi wa kura sio ushindi bali itategemea na mwenyekiti siku hiyo ameamkaje maana yeye ndiyo ataeendesha vikao vya kujadili majina yote na kuamua nani atiwe krosi nani apewe ridhaa.Hayo ni mawazo yako sababu hujui historia ya ccm huko nyuma. Minyukano mingi ilisababishwa na mtu kukubalika lakini kundi la watu wachache linampitisha sababu ya rushwa.
UmeonaKwa lile furushi alopanda nalo Dokta kuhesabu naamini kapiga nyingi sana
Safi sanaa.VUNJO
Enock Koola =187
Dr Charles Kimei 178
Mungu asaidie tuDaaa Kwa vitabu nilivyoona vya Dr Ndungulile Obvious kampiga za chembe Makonda.
Ha! Kumbe mshindi wa hapa sio kwamba ndo kashatoboa?Acheni kutukana kabla hamjavuka mto! Mwenzenu anasubiria majina yatoke kamati kuu maana huo uchaguzi hapo siyo mwisho. Kamati za wilayani zinapeleka majina matatu taifa yanaenda kuchujwa huko na kupatikana moja na mwenyekiti alishasema anaweza kuleta mtu aliyeshika nafasi ya pili kutegemea ameamkaje!
Sasa watu watajua kwa nini vijana wanabetSema mama Mjema alicheza kamari haswa, yaani uache ukuu wa wilaya ukashindane na Zungu kweli?
Safi sanaa.VUNJO
Enock Koola =187
Dr Charles Kimei 178
Toka hapa utopolo wewe!JIMBO LA SIHA
DR Godwin Molel =148
Agrey Mwanry =147
Halafu body language kuna wakati alishika kiuno!Kwa lile furushi alopanda nalo Dokta kuhesabu naamini kapiga nyingi sana