Kimei sio jina geni mpaka huko kijijini.. Wanamjua sababu aliwajengea CRDB kule Marangu mgombani kabisa..

Ndio maana nataka nimjue pia huyo Koola ni nani??
Kwani akiwajengea tawi la bank Ndio amewapa hela au utajiri?matawi ya bank hayajawahi huwa shida marangu
 
Ameshinda Yeye au Makonda Mkuu? Kuna ' Mijitu ' kama wakina tindo ' Wananichanganya ' mno kwa kusema Adui yangu Makonda ameshinda.

Ngudulile anakwenda kusaini matokeo sasa huku akihesabu kura zake alizopigiwa jumla 198 kwa kuhesabu nikiangalia live channel Ten
 
yule owden...... anagombea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…