Hapana sio zali!Inaonekana alipata zali tu
Basi Makonda hakwepileki haters waangalie namna nyingine tuBado mkuu tusubiri mpaka vikao vya Dodoma viishe. Tunavyoendelea kuombea Makonda adondoke ndiyo tunapandisha hasira za yule mzee anaweza kumrudisha ili kutunanga!
Hiyo ndio principle,unakumbuka ya Davis Mosha 2015?Kimei na pesa zake hajatoboa ?Wachaga wamekula vijisenti na kura hawajampigia.
HiviKapita akielekea wapi
Tutafurahi bwanaMpambano mlali sana sijui tutafurahi au tutanuna
Ngudulile anakwenda kusaini matokeo sasa huku akihesabu kura zake alizopigiwa jumla 198 kwa kuhesabu nikiangalia live channel Ten
Kikubwa kapitwa
TaMAa MBayaa..up
Sofia Mjema chaliii kwa Musa Azan Zungu yani waliacha kazi sasa wameona kazi kupata kazi chaliiiiiii Ilala
View attachment 1511894
Ndugulile 188
Ndungulile 189 na zaidi tusubili
Huu uzi uko kasi
Nimehesabu
ndugulile ana 190
Ndugulile kura 180s
Makonda 120s
SASA HII NI NINI UTOPOLO AUNdungulile Kama 190 hivi
Nami ngoja nikazie!Hapa sipiti bila kuweka signature iwe kumbukumbu kwa vizazi vijavyo vya jf. Machozi ya watumishi watu wazima kbs waliotukanwa mbele ya halaiki kama watoto hayajaenda bure, HAKIKA WAKATI SI MILELE!
4.baadhi ya wajumbe kutompenda DABHapana sio zali!
Alichuana na Abdullah Mwinyi mtoto wa rais mstaafu awamu ya pili, Mimi nafikiri Ndugulile alishishinda kwa mambo matatu;
1.kutetea mradi wa mjimpya Kigamboni.
2.suala la ukazi pia lilimbeba kwasababu ndugulile wazazi wake ni wenyeji wa mji wa Kigamboni na makazi yao yapo Kigamboni.
3.amewashika sana na kuwakumbatia wazee maarufu/wenye majina na ushawishi mkubwa katika mji, hivyo walimpigia sana debe.
Ila safari hii mchuano mkali zaidi muda utatoa jibu sahihi
Umeona Makonda akihesabu?Tutafurahi bwana
Hapo ndio penye kazi sasaHahaha wajumbe washamaliza kazi yao ya kupiga kura ila kuteua jina siyo kazi yao inategemea "mtu furani" ataamkaje.
Ni zaidi ya mmoja kwa CCM?Kuna majimbo nami nayasubiri kwa shauku sana kujua CCM wanasimamisha wagombea wapi?
Jimbo ni la Chadema hiloKitila kapakimbia kwao Iramba ma**** huyu
Huyu muhuni anaweza kushindaUmeshanitajia za Mtu Wangu na Mtanzania Mstaarabu sana Faustine Ndugulile je, Kura za hilo ' Bwege Nazi ' langu ni ngapi? Nijuze haraka Mkuu.
Vya Ndungulile vingi sanaUmeona Makonda akihesabu?
Mimi nimeona Ndungulile na vitabu vyake akivihesabu[emoji16]
Tulia.SASA HII NI NINI UTOPOLO AU