Huu mchakato wa CCM una kasoro yaani uchukuwe fomu halafu hakuna campaign; huo ushawishi wa kupigiwa kura unatokana na nini.

Uchaguzi wa namna hii unapendelea incumbencies na watu almaarufu; wengine ni wasindikizaji tu.
Ah mgombea anapataje kura 0 ina maana hata yy mwenyewe hajajipigia kura ? Na kalaki kake kamekwenda pyeeeeee bora angenunua mbuzi akala mwezi mzima
 
Ah mgombea anapataje kura 0 ina maana hata yy mwenyewe hajajipigia kura ? Na kalaki kake kamekwenda pyeeeeee bora angenunua mbuzi akala mwezi mzima
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti pyeeeeeeh, khaaaaj
 
Ah mgombea anapataje kura 0 ina maana hata yy mwenyewe hajajipigia kura ? Na kalaki kake kamekwenda pyeeeeee bora angenunua mbuzi akala mwezi mzima
Wanasema ukiona Kura sifuri ujue hakuwa na sifa ya kujipigia kula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…