Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Leo Magufuli kasema kura zihesabiwe Kama ilivyokuwa dodoma yaan zinahesabiwa hapohapo ukumbini
Hiyo haisaidii maana Mwenyekiti keshasema kuwa kwenye kikao cha mwisho cha uteuzi anachoongoza yeye, wa kwanza kura za maoni Jimboni anaweza kuwa wa mwisho na wa mwisho akawa wa kwanza akateuliwa kutegemea Mwenyekiti alivyoamka siku ya uteuzi. Mwenyekiti ndo mwenye Chama, Serikali na Nchi uamuzi wake ni wa mwisho na haupingwi.
 
Kwani hao wazee waislam ndio wanaopiga kura peke yao? au wao ndio wasimamizi wa uchaguzi? Nini kimepelekea hadi kuingiza udini katika hili? au ni chuki zako tu kwa waislam?
Kasome vizuri historia ya nchi hii ujue mchango wao na jinsi walsivyokuwa na uchu wa madaraka ila wanapenda haki.
Aisee,umenena vema sana.....
 
Pengine wewe ndio haujui maana ya itategemea Ameamkaje.
 
Iramba kura zilizopangwa na Uongozi wa CCM Wilaya

1. Eng. CC Mkali - 4
2. Dr. Mwigulu Nchemba - 27
3. Monica Yongolo --8
4. Lyanga Martin 3
5. Dr Timoth Lyanga - 13
6. Paulo Mkoma 2
7. Abdala Matanga - 3
8. Robert Jackson Makala - 5
9. Vicent Shomela - 3
10. Eng. Jumbe Katala 11
12. Mwl Noel Kingu - 4
13. Matahyo Samson - 9
14. Elia Mpesa 1
15.Elibariki Ndau 1
16. Paulina Makamba - 2
17. Adv. John W. Jacob - 16
18. Sadath Nkuku - 1
19. Herijema Nalaila - 6
20. Babu Khamis Bulali - 3
21. Amani Irunde 1
 
Mchuano mkali sana hapo naona Mwingilu nchemba anapita kwenye tundu la sindano
 
CCM imetengeneza 1,036,100,000 kupitia ada za fomu za ubunge na uwakilishi. kweli mwenye nacho huongezewa.
bado nasikia kuna michango mbalimbali isiyo rasmi wanatakiwa kulipia mbali na hiyo ada
 
CCM imetengeneza 1,0361,000,000 kupitia ada za fomu za ubunge na uwakilishi. kweli mwenye nacho huongezewa.
bado nasikia kuna michango mbalimbali isiyo rasmi wanatakiwa kulipia mbali na hiyo ada
Inawezekana aisee,maana hio ndio wanaiita CCM mpyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 
Waziri wa Fedha Dr. Mpango anakabiliana na mhe. Obama mbunge anayetetea kiti hicho jimbo la Buhigwe. Kasulu mjini ni waziri wa Elimu Prof.lJoyce Ndalichako dhidi ya Daniel Nsanzugwako mbunge anayetetea jimbo hilo.

Dr Mpango anatokea eneo lililo pembeni mwa jimbo hilo na lenye wakazi wachache huku Obama akiwa mzaliwa wa Manyovu upande wenye wakazi wengi. Kwa upande wa Ndalichako huyu amekulia na kusomea Kigoma mjini japo asili
yao in Kasulu mjini.

Awali alikuwa agombe Kigoma mjini lakini akakimbilia Kasulu baada ya kuona jimbo hilo uamuzi wa kuwa mbunge huamliwa na wazee wa Ujiji ambao ni waislamu.
Siasa za udini fyuuuuu
 
Back
Top Bottom