Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Binafsi sijapenda kabisa kwa ccm kumrudisha tena ndungulile sisi wanakigambon hatumkubali kabisa huyu mtu hakuna alicho Fanya hatuna soko hatuna barabara nzur yani ccm mmpeteza jimbo tunampa mpinzani mnakera sanaaa
Ungechukua fomu wewe Basi. Kama Mpoki na RC mstaafu wameshindwa.
 
Haya kumeshakucha tena La mgambo likilia ujue kuna jambo.



Live Kutoka Kigamboni

View attachment 1511577


Kwa mujibu wa ratiba ya CCM, leo na kesho ni siku ya Mikutano Mikuu ya CCM ya Majimbo/Wilaya kupiga kura za maoni za wagombea wa ubunge na ujumbe wa baraza la wawakilishi

Kwa Mujibu wa Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Magufuli waliochukua kugombea nafasi za Ubunge na uwakilishi ni 10,367. Waliokamilisha kujaza fomu na kurejesha ni 10,321.

Watanzania wataelekeza zaidi macho na masikio yao maeneo yenye upinzani mkali kama Kigamboni, Arusha mjini, Simanjiro, Kyela, Mbeya mjini, Mwibara, Misungwi, Same Mashariki, Tunduma, Tarime Vijijini na Ubungo ni baadhi ya maeneo yanayoangaliwa kwa jicho la tatu.


------UPDATE: MATOKEO YA AWALI-----

1. DAR ES SALAAM
Kinondoni

Abbas Tarimba - 171
Idd Azann kura - 77
George Wanyama - 32
Maulidi Mtulia - 11

Kigamboni - Kura 398

Kawe

Ilala

Sophia Edward Mjema 105
Mussa Azzan Zungu 148
Henry Sato Massaba 4
Rahma Ngassa 6
Grace Buberwa 6

Kibamba

Ubungo - Kura 375

Prof. Kitila Mkumbo - 172
Bi.Mwantum Mgonja - 73

Ukonga

2.
SINDIDA

Iramba Magharibi
1. Eng. CC Mkali - 4
2. Dr. Mwigulu Nchemba - 27
3. Monica Yongolo --8
4. Lyanga Martin 3
5. Dr Timoth Lyanga - 13
6. Paulo Mkoma 2
7. Abdala Matanga - 3
8. Robert Jackson Makala - 5
9. Vicent Shomela - 3
10. Eng. Jumbe Katala 11
12. Mwl Noel Kingu - 4
13. Matahyo Samson - 9
14. Elia Mpesa 1
15.Elibariki Ndau 1
16. Paulina Makamba - 2
17. Adv. John W. Jacob - 16
18. Sadath Nkuku - 1
19. Herijema Nalaila - 6
20. Babu Khamis Bulali - 3
21. Amani Irunde 1


3. TABORA

Bukene
Igalula
Igunga
Kaliua
Manonga

Nzega Mjini - Kura 376
Bashe 367
Ruangisa 1
Mashili 6
Wengine 2

Nzega Vijijini
Sikonge
Tabora Mjini
Ulyankulu
Urambo
Uyui


4. PWANI

Kisarawe
1.Hassan Bangusilo- 1
2.Fransis Gosbert -1
3.Mohamed Masenga-1
4.Ally Goha -2
5.Zemba Mumbi -2
6.Zainabu Zowange-2
7.Chaulembo -3
8.Seleman Jafo - 588

Chalinze
Bagamoyo
Kibaha Mjini
Kibaha Vijijini
Mafia
Mkuranga
Kibiti
Rufiji



5. IRINGA

Isimani

Lukuvi - 453
Kiyoyo - 16
Mwilinge - 5
Kidunye - 5
Kalinga - 4
Mfilinge - 4
Kushoka - 0
Chengula - 0
Gange - 0

Iringa Mjini
Kalenga
Kilolo

Mafinga Mjini
Cosato Chumi - 135
Dr. Bazil Tweve - 122

Mufindi Kaskazini
Mufindi Kusini

6. TANGA
Tanga Mjini
Bumbuli
Mlalo

Pangani
Jumaa Awesso - 281

Kilindi
Mkinga
Handeni Vijijini
Muheza
Korogwe Mjini
Korogwe Vijijini
Lushoto
Handeni Mjini

7. GEITA
Geita Mjini
Geita Vijijini
Busanda
Mbogwe

Bukombe
Doto Biteko - 555

Chato


8. MBEYA/SONGWE

Mbeya mjini - Kura 924

Tulia Ackson - 843
Vikita - 1
Mwakipesele - 11
Mwakaloge - 2
Mwaifani - 3
Bwiga - 1
Fugale - 1
Mabula - 16
Mwademba - 2
Wagombea wengine(23) - 00

Mbeya vijijini
Mbarali
Rungwe
Ileje
Mbozi

Vwawa
Japhet Hasunga - 552
Erick Minga - 129

Momba
Tunduma
Chunya
Kyela
Busokelo
Lupa

9. MANYARA

Babati Mjini
Babati Vijijini
Hanang’
Kiteto
Mbulu Mjini
Mbulu Vijijini
Simanjiro

10. KILIMANJARO

Hai

Siha
1. Dkt. Godwin Mollel - 58
2. Justine Kweka - 85
3. Lameck Munuo - 91
4. Aggrey Mwanry - 151
5. Eng. Betson Maimu - 231

Moshi Mjini
Mwanga
Same Mashiriki
Same Magharibi
Moshi Vijijini

Vunjo - Kura 567
Enock Koola - 187
Dk. Charles Kimei - 178

Rombo

11. MOROGORO
Gairo
Kilombero
Kilosa
Mikumi
Mlimba
Morogoro Kusini
Morogoro Kusini Mashariki

Morogoro Mjini - Kura 638
1. Abdul-Aziz Abood - 524
2. Merkiory Manset - 17
3. Ally Yahaya Simba - 15
4. Idhah Omary Abdalah (Alsaedy) - 10

Mvomero
Ulanga Magharibi/ Malinyi
Ulanga Mashariki

12. MTWARA
Mtwara Mjini

Mtwara Vijijini - kura 847
Aman Mtepa kura 1
Solomon Mushi 1
Said Nyengedi 1
Zhia Ally 2
Said Tewa 4
Privatus Mutungi 4
Rashid Nandonde 5
Yunus Nangapomi 5
Kais Mohamed 5
Augostino Nguli 11
Mohamed Lilanga 38.
Olivernus poul 139
Seleman Mwamba 191
Hawa Ghasia 440.

Nanyamba
Nanyumbu
Ndanda
Newala Mjini
Newala Vijijini
Tandahimba
Masasi
Lulindi

13. LINDI
Kilwa Kusini
Kilwa Kaskazini
Lindi Mjini
Liwale
Mtama
Mchinga
Nachingwea
Ruangwa

14. KATAVI
Katavi
Kavuu
Mpanda Mjini
Mpanda Vijijini
Nsimbo

15. NJOMBE

Njombe Kaskazini
Njombe Kusini
Makambako
Wanging'ombe
Makete
Ludewa


16. DODOMA
Bahi
Chemba
Chilonwa
Dodoma Mjini
Kibakwe
Kondoa Mjini
Kondoa Vijijini
Kongwa
Mpwapwa
Mtera

17. MWANZA
Buchosa

Ilemela - Kura 685
Dkt. Angeline Mabula - 502
Israel Mtambalike - 112

Kwimba
Magu
Misungwi
Nyamagana
Sengerema
Sumve
Ukerewe


18. RUVUMA
Songea Mjini
Nyasa
Tunduru Kaskazini
Tunduru Kusini

Peramiho
Jenister Mhagama - 845

Madaba
Namtumbo
Mbinga Mjini
Mbinga Vijijini

19. RUKWA
Sumbawanga Mjini
Nkansi Kaskazini
Nkansi Kusini
Kwela
Kalambo

20. KAGERA
Biharamulo
Bukoba Mjini
Bukoba Vijijini
Karagwe
Kyerwa
Muleba Kaskazini
Muleba Kusini
Ngara
Nkenge

21. MARA
Bunda Mjini
Bunda Vijijini
Butiama
Musoma Mjini
Musoma Vijijini
Mwibara
Rorya
Serengeti
Tarime Vijijini
Tarime Mjini

22. SHINYANGA
Kahama Mjini
Kishapu
Msalala
Shinyanga Mjini
Solwa
Ushetu

23. SIMIYU
Bariadi
Busega
Itilima
Kisesa
Maswa Mashariki
Maswa Magharibi
Meatu

24. KIGOMA
Buyungu
Kasulu Mjini
Kasulu Vijijini
Kigoma Kaskazini
Kigoma Kusini/Uvinza
Kigoma Mjini
Manyovu
Muhambwe

Mtumalizie basi jamani
 
Lakini nina hisi Kimei anaweza kupewa kwenye vikao vya Chama!
Most likely atapewa. Ukizingatia pia utafauti wa kura 9 ni chache sana.

Kimei anauzika hata kwa wapinzani, huyo Koola anaweza asiwe na ushawishi nje na wanachama wa CCM Vunjo ambao pia ni wachache.
 
Waziri wa Fedha Dr. Mpango anakabiliana na mhe. Obama mbunge anayetetea kiti hicho jimbo la Buhigwe. Kasulu mjini ni waziri wa Elimu Prof.lJoyce Ndalichako dhidi ya Daniel Nsanzugwako mbunge anayetetea jimbo hilo.

Dr Mpango anatokea eneo lililo pembeni mwa jimbo hilo na lenye wakazi wachache huku Obama akiwa mzaliwa wa Manyovu upande wenye wakazi wengi. Kwa upande wa Ndalichako huyu amekulia na kusomea Kigoma mjini japo asili
yao in Kasulu mjini.

Awali alikuwa agombe Kigoma mjini lakini akakimbilia Kasulu baada ya kuona jimbo hilo uamuzi wa kuwa mbunge huamliwa na wazee wa Ujiji ambao ni waislamu.
Kigoma mjini mbona Selukamba kashinda mara mbili na si Muislam.
 
Back
Top Bottom