Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Tupoooooooooh
Acheni kutukana kabla hamjavuka mto! Mwenzenu anasubiria majina yatoke kamati kuu maana huo uchaguzi hapo siyo mwisho. Kamati za wilayani zinapeleka majina matatu taifa yanaenda kuchujwa huko na kupatikana moja na mwenyekiti alishasema anaweza kuleta mtu aliyeshika nafasi ya pili kutegemea ameamkaje!
 
Acheni kutukana kabla hamjavuka mto! Mwenzenu anasubiria majina yatoke kamati kuu maana huo uchaguzi hapo siyo mwisho. Kamati za wilayani zinapeleka majina matatu taifa yanaenda kuchujwa huko na kupatikana moja na mwenyekiti alishasema anaweza kuleta mtu aliyeshika nafasi ya pili kutegemea ameamkaje!
Mweeh
 
Back
Top Bottom