Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Ndugulile to hell with him huyu vita ya corona alitaka watanzania tufe hata angepata kura zote mimi ningempinga anaamini dawa za kizungu alimpinga hadi Magufu;i tusijifukizie wakati anajua hakuna tiba ya CORONA KAMATI ZA UTEUZI MPENI YEYOTE sio Ndugulile mimi napinga wazi nikiwa CCM damu I SAY NDUGULILE NO NO NO NO kAMANDA MZURI HUONEKANA KWENYE VITA MAGUFULI KAPIGANA VITA nzuri ya corona sio ndugulile .hwezi zawadia ubunge mtu aliyeshindwa kupigana vita napimga .Na CCM wa take note kuwa mimi nikiwa mmojawapo wa mpambanaji huria wa mitandaoni wa kujitolea mitandaoni wa CCM SIMTAKI NDUGULILE

Ni kweli ww na Magufuli hamumtaki Ndugulile bali mnataka Makonda. Hata kama unazunguka ila unayemtaka ni Makonda. Ndugulile ni Doctor, ushauri alioutoa ulikuwa wa kitaalamu, na sio wa kuendana na hisia za rais. Magufuli amebakiza miaka mitano madarakani, lakini elimu ya udaktari ni ya kudumu. Ndugulile atakuwa mwendawazimu kama mtaalamu kutoa ushauri ulio nje ya utaalamu wake, kisa kumfurahisha rais ambaye sio mtaalamu, na anaamini kwenye mitishamba.

Ww endekeza siasa za kichovu kwenye kila jambo, Ndugulile analinda taaluma yake. Huyo Makonda wako kapigwa bao, hata kama mbeleko itatumika huko mbele, lakini ukweli ni kuwa Makonda hana ushawishi huo.
 
Makonda ni husler na mpambanaji,hajaogopa amethubutu. Vijana mpongezeni makonda na mpeni pole ya kushindwa Amejifunza mengi kwa mchakato huo.Makonda ana roho ya kiume,nimemkubali kwa uthubutu wake.
 
Hatareeeee
 

Attachments

  • IMG_20200720_173326.jpg
    IMG_20200720_173326.jpg
    16.1 KB · Views: 2
Ukitathimni matokeo ya uchaguzi wa jimbo la kigamboni ,Nzega mjini,Mtama utaona wakongwe waliotetea majimbo yao , Bashe na Nape Nauye wamewaacha mbali sana wapinzani wao ,mfano Nape anakura Mia nne na ushee anayemfatia Ana kura miambili na Bashe kapiga kura miatatu na ushee, anaemfatia ana kura kumi na mbili .

Kwa kigamboni Ndugulile alitakiwa amuaache mbali sana Makonda ,kwa sababu ni mbunge jimbo hilo kwa miaka 10,halafu anatofautiana na mgeni kwa kura 68, hii si nzuri kwake. Kama ilivyoada kwa ccm kuongoza kura za maoni sio tiketi ya jina kurudi.


Safari ndio imeanza kuhusu hili jimbo la kigamboni,wagombea wakapitishwe kwenye kamati ya wilaya ya siasa ,kamati ya mkoa ya siasa kisha yapelekwe Dodoma kwa wazee cardinal rule ndio jina lirudi. Wale mnaompinga Makonda msishangilie kwa sasa, baadae msije kujikuta mnasonya
Kilichompa kura ndungulile ni mpinzani aliyewekwa nae, ndungulile hafai kuwa mbunge!
 
Ndugulile to hell with him huyu vita ya corona alitaka watanzania tufe hata angepata kura zote mimi ningempinga anaamini dawa za kizungu alimpinga hadi Magufu;i tusijifukizie wakati anajua hakuna tiba ya CORONA KAMATI ZA UTEUZI MPENI YEYOTE sio Ndugulile mimi napinga wazi nikiwa CCM damu I SAY NDUGULILE NO NO NO NO kAMANDA MZURI HUONEKANA KWENYE VITA MAGUFULI KAPIGANA VITA nzuri ya corona sio ndugulile .hwezi zawadia ubunge mtu aliyeshindwa kupigana vita napimga .Na CCM wa take note kuwa mimi nikiwa mmojawapo wa mpambanaji huria wa mitandaoni wa kujitolea mitandaoni wa CCM SIMTAKI NDUGULILE
Kwaio kigezo ni kumpinga yule bwana?
 
Jamani mchakato bado kabisa, naona watu wanawehuka kwamba haya matokeo kura za maoni ndio mwisho wa kila kitu

Kumbe sio hivyo, majina bado yataendelea kuchujwa sana tu, na mwishowe yatapelekwa kwenye kamati ya WATU 24 ikiongozwa na Mwenyekiti, kwahio kuna possibility kubwa waliobwagwa au "watoto pendwa" wanaweza kupata.

Mambo bado kabisa!
Acheni BANGE ninyi, kulikua na haja gani ya kusumbua watu kama ni kweli unavyojaribu kuaminisha hapa kwa kutumia nguvu?Puumbavu, imeisha hiyo.
 
Lema hana chake pale. Atapata kira za mateja tu ila sio za wengi wanaojitambua.
Bai bai lema...
Sasa kama haujui hili jimbo mwaka huu ndiyo fainali ilipo maana matokeo ya urais yanajulikana.

Huyo jamaa ndiyo atapigiwa kura na wajinga na ndugu zake wauza kuku hapa Arusha. Nani anapenda kiongozi arrogant...
 
Ukitathimni matokeo ya uchaguzi wa jimbo la kigamboni ,Nzega mjini,Mtama utaona wakongwe waliotetea majimbo yao , Bashe na Nape Nauye wamewaacha mbali sana wapinzani wao ,mfano Nape anakura Mia nne na ushee anayemfatia Ana kura miambili na Bashe kapiga kura miatatu na ushee, anaemfatia ana kura kumi na mbili .

Kwa kigamboni Ndugulile alitakiwa amuaache mbali sana Makonda ,kwa sababu ni mbunge jimbo hilo kwa miaka 10,halafu anatofautiana na mgeni kwa kura 68, hii si nzuri kwake. Kama ilivyoada kwa ccm kuongoza kura za maoni sio tiketi ya jina kurudi.


Safari ndio imeanza kuhusu hili jimbo la kigamboni,wagombea wakapitishwe kwenye kamati ya wilaya ya siasa ,kamati ya mkoa ya siasa kisha yapelekwe Dodoma kwa wazee cardinal rule ndio jina lirudi. Wale mnaompinga Makonda msishangilie kwa sasa, baadae msije kujikuta mnasonya
Ugeni upi? Yani Makonda ni maarufu kuliko Ndugulile maana yake ni kuwa umaarufu wake umembeba hata kupata hizo kura. Hiyo inaashiria Makonda hakubaliki maana kawekeza sana kisiasa Kigamboni

Mungu Ibariki Tz - MITz
 
Siha
Dk. Godwin Mollel - 148
Aggrey Mwanry - 147
Tumsifu Kweka - 53


Habari ndiyo hiyo
Huyu ingekuwa mshindi lazima apate nusu angekuwa nje. Sasa hivi anatakiwa ajipange sana kwenye uchaguzi Mkuu kwa sababu zaidi ya nusu ya wajumbe hawakumtaka.

Amandla...
 
Back
Top Bottom