Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Mwaka flani nlisikia audio moja ya mdada mmoja wa kinyakyusa akimkataa mwakyembe na kusema si mnyakyusa.yule mdada alisema anawafahamu wanaume wa kinyakyusa hawapo kama mwakyembe.

Alienda mbali sana na kusema mwakyembe ashakuwa mswahili sana.mwaka 2015 tunajua mwakyembe alipita kwa nguvu sana hata yeye mwenyewe alikuwa anajua hilo.

La kushangaza bado hakuweza kupata ufaham pamoja na kuwa na phd ya sheria jamaa ni kilaza sana.hata hajui kujenga hoja jadidi. Mara nyingi hukimbilia kwenye elimu yake.

Sasa wana Kyela wamemkataa kwenye kuta za maoni.hao ndo wanyakyusa.hawana unafiki.hawakuangalii usoni.wanapokubadilikia hukubadilikia hasa.unaweza wahonga wakala pesa zako na bado wakaja kukukataa.

Mwakyembe alikuwa mtu wa hovyo hovyo.mwenye kujipendekeza na aliyepoteza mwelekeo kabisa.hongereni wana kyela.mimi nimewashindwa nyie watu.mpo serious sana.

Moderator jasili isomeke jasiri please
 
Hivi zile zilikua ni akili zake ama kuna mtu alikua akimdanganya,Hatawasahau wazee wa kigamboni
 
Mtu kaliwa kichwa huko
IMG-20200721-WA0000.jpg
 
Asubiri kidogo mkuu,kuna mwenzake wa Koromije aitwae Gwajima nae atakatwa leo ili wapeane lift kwny gari warudi wote koromije.
 
If so, basi unashangaza kwa sababu wakati unasema ww si mdini, lakini unaamini wenzako ndo wadini, na uli-conclude bila hata ya kufanya utafiti!

Kufahamu tu kwamba Ujiji ni Waislamu, kwako ikatosha kabisa kuamini hawawezi kuchagua Mkristo wakati kabla ya Zitto hapo hapo kulikuwa na Mkristo!!
I
Kwani unatakaje?
 
KATIKA JAMBO AMBALO NALIONA NI LA AJABU SANA NI BONNA KALUA KUFAULU KUPITA JIMBO LA SEGEREA ILIHALI HAKUNA CHOCHOTE ALICHOFANYA KATIKA JIMBO HILI NI BORA HATA MAKONDA ANGEKUJA HUKU SIJUI WASHAURI NWAKE WALIKUWA AKINANANI

Funga mdomo that woman worked very hard.
 
Gwajima chaliiiii mapema tu
Wanabodi,
Kile kipute kigumu kuliko vyote cha kura za maoni CCM ni jimbo la Kawe
ambapo watu 176 wamejitokeza kuwania jimbo hilo.

Mimi mwana JF wako, Pasco Mayalla niko usawa huu kutuletea Live kipute hiki Kutoka Ukumbini wa Kiramuu Hall hapa Mbezi Beach, kushuhudia Upigaji Kura za Maoni CCM, Wagombea 176 Kuchuana Kumposa Halima Mdee Ili kumuoa, kumtuliza na Kumpumzisha awe mama wa nyumbani, archie jimbo, atulie kulea mume, watoto na kujenga familia.

Nani Kuibuka Kidedea?!.

Andamana nami.

Paskali
 
Back
Top Bottom