Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Waliodondokea pua jana na leo Updates

Babu Tale Apeta Morogoro vijijini
Mwita Waitara apeta
*
*
Wasanii na watangazaji

1.Mc Pilipili kura 1 Bahi
2.Mwijaku kura 0 Chalii Kawe
3.Dk Issac wa Clouds Chalii Ubungo
4.Zamaradi kura 2 Kinondoni
5.Kalapina kura 1 Kinondoni
6.Steve Nyerere Chali Iringa mjini kura 6
7.Mpoki 0 Kigamboni
8.Mwana FA Muheza Chalii kura 296 nafasi ya 2

Waunga mkono juhudi

1.Lijuakali Kilombero kura 5
2.Silinde Chaliii Tumduma
3.Lazaro chalii Arusha mjini
4.Mtolea Temeke Chalii
5.Kafulila Kigoma kusiniChalii
6.Katambi Kahama Chalii
7.Ktulia Chali Kinondoni kura 11
8.Nassari chalii Arumeru Mashariki kura 22
9.Dk Mashinji kura 2 Kawe
10. Paul Gekul
11.Albert Msando

Wengine

1.Askofu Gwajima 79 Kawe
2.Pascal Mayalla kura 1 Kawe mwa Jf mwenzetu
3.Dk Mwakyembe mwenye digrii 4 ( mzee ana dharau huyu kawakejeli wajumbe wameishia la saba) chalii kura 256, wa kwanza kura 750, Kyela
4.Makonda Kigamboni Chalii
5.Kitwanga katwanga na Mnyeti huko Misungwi
6.Sipirian Musiba Chalii Mwibara
7.Goodluck Mlinga
8.Angela Kairuki



NB: Wale waliotoka upinzani na kuunga mkono juhudi wote wamedondokea pua [emoji23][emoji23][emoji23]
Kasoro Mwita Waitara
Hahahaha
 
Mfumo wa sasa haumtaki Jerry nahisi kuna alilomfanyia ' Mwenye Chair ' ambalo pengine wengi Wetu hatulijui kwani Jamaa ' Hathaminiwi ' kabisa.
Jerry Silaa walikwazana na Magufuli enzi za mabango ya barabarani Jerry akiwa Meya wa ilala Magu akiwa waziri wa ujenzi.

Kwa kiburi cha hali ya juu mtoto akapewa na ujumbe wa kamati kuu na JK!!
 
Siyo kwenda mbeya kwenye miaka mitatu, sema jana au juzi maana mbeya ndiyo nyumbani kwangu na miaka yote napiga kura.

Karibu sana hapa city pub utafune castle light na nyama choma ya mbuzi tusherehekee kupigwa kwa Bashite

Mkuu vipi updates za mbeya vijijini?!
 
1-Mwaka 2015 sugu alishinda kwa kura 97k dhidi ya 46k za Shitambala. Raia hawakua na imani na Shitambala baada ya Kusaliti kule Mbeya vijijini. kwa hizo asilimia 100 ulizompa sugu unadhani ushawishi wa Tulia ni mdogo kuliko wa Shitambala 2015?. Kama uko objective mkuu basi huwezi kusema Sugu atateleza huu Mwaka,

2-Dr Tulia ana mtaji mkubwa ambao umeshaonekana kwenye kura za maoni. Mwaka 2015 CCM haikua kitu kimoja maana kulikua na timu Kajuna na timu Shitambala. Mwaka huu CCM ni moja. Sasa unaanzaje kusema Sugu atateleza?. naomba unipe sababu za msingi hapo.

Sababu kuu ni hii tangu enzi adui mkuu wa mbeya ni CCM na siyo mgombea wa CCM. hivyo basi upinzani wenye nguvu ambao kwa sasa wanao CHADEMA kwao ni rahisi kujibebea jimbo hata kama wakiweka jiwe ili mradi tu liwakilishe CHADEMA na pia ni ngumu sana kwa mgombea yoyote yule toka CCM kupita kirahisi.
 
Kigoma Mijini waislam ni wengi kwa maana hiyo wao ndiyo waamuzi wa nani awe mbunge.

Ni Kama Zanzibar. Pale Mkristo akigombea hawezi kushinda.

Kwa hiyo usitoe povu sana wakati mwenzako kasema ukweli
wakristo wangapi wamo kwenye baraza la wawakilishi?. hebu fikiri kwanza kabla kukurupuka.
 
NILICHOKIONA UCHAGUZI HUU NDANI YA CCM YEYOTE ANAYEJINASIBISHA KAMA MTU WA “mfalme” WENYE CHAMA CHAO WAMEPIGA MKASI ; Mfano

Wapinzani waliounga mkono juhudi
Mwandishi anayeongoza propaganda za kumtetea mfalme - MUSIBA
Kijana mwingine anayeendesha magazeti ya kutukana watu kapigwa huko Kibaha
Mchungaji Gwajima ambaye ni Kiongozi wa kikundi Cha kikabila ( interehamwe) kinachojifanya nj Cha kumlinda mfalme “ sic

Alafu angalia watu ambao Inaonekana amewaondoa kama Gambo na Ndugulile walivyobebwa

Inakulikana wazi pia Gambo ni mfuasi mzuri wa Membe toka 2015 aliyejitahidi kuvaaa ngozi

Ccm wameonyesha uasi kwa mwenyekiti wao
 
Kura za maoni zinaenda mwisho nimefanya tathimini 90% ya washindi Kura za maoni CCM wametumia rushwa waziwazi

Wagombea wengi nazani haeajamuelewa Mwenyekiti wa CCM Taifa

Mwenyekiti atoe fundisho Kwa kukata majina yao
evidence?
 
Kura za maoni zinaenda mwisho nimefanya tathimini 90% ya washindi Kura za maoni CCM wametumia rushwa waziwazi

Wagombea wengi nazani haeajamuelewa Mwenyekiti wa CCM Taifa

Mwenyekiti atoe fundisho Kwa kukata majina yao
Hiyo tathmini ipo wapi?
 
NILICHOKIONA UCHAGUZI HUU NDANI YA CCM YEYOTE ANAYEJINASIBISHA KAMA MTU WA “mfalme” WENYE CHAMA CHAO WAMEPIGA MKASI ; Mfano

Wapinzani waliounga mkono juhudi
Mwandishi anayeongoza propaganda za kumtetea mfalme - MUSIBA
Kijana mwingine anayeendesha magazeti ya kutukana watu kapigwa huko Kibaha...
Uasi upi? Hoja dhaifu hii
 
Back
Top Bottom