Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Ni Kijana aliekuwa mchapa kazi sana sijajua ndoto ziliishia wapi alikuwa naibu Meya Nimeona jana ameshinda Ukonga Swali langu hilo jina likifika kunako atachomoka??

Namtakia kila la kheri na wana Ukonga wote.
 
Kweli ni patashika maana bado kule juu kamati kuu kuna walakin.vigezo na masharti vitakavyo zingatiwa.
 
JF mbona mnapata kigugumizi cha ku-update matokeo ya Same Magharibi ingawa it is well known kwamba Mathayo kapata kura nyingi kuliko yule dada?
 
Kwa matokeo ya Mwibara, unapaswa ujitathimini; je, yale yote ufanyayo kudhalilisha watu na kuwatukana ukijifanya unamtetea Rais (bila kutumwa) na unaitetea CCM, je yanathaminiwa au unaonekana kituko tu?

Haiwezekani kwa juhudi zile zote lakini wanaCCM wenzako takribani 400 wakupatie kura sifuri, hata moja ya kudanganyia hakuna?

Hii ni dalili juhudi zile zote unaonekana mjinga tuu na bado kidogo wakuchoke.

AIBU KUBWA
Anavuta bangi uyo jamaa
 
"Wakikata jina tunapigia upinzani." Alisikika mkora mmoja akitamka maneno hayo.
 
Kwa matokeo ya Mwibara, unapaswa ujitathimini; je, yale yote ufanyayo kudhalilisha watu na kuwatukana ukijifanya unamtetea Rais (bila kutumwa) na unaitetea CCM, je yanathaminiwa au unaonekana kituko tu?

Haiwezekani kwa juhudi zile zote lakini wanaCCM wenzako takribani 400 wakupatie kura sifuri, hata moja ya kudanganyia hakuna?

Hii ni dalili juhudi zile zote unaonekana mjinga tuu na bado kidogo wakuchoke.

AIBU KUBWA

Natokea Mkoani Mara ( Musoma ), ila kama kuna ' Mpumbavu ' anayetufanya wana Mara ( Musoma ) wote tuonekane ' Wapuuzi ' ni huyo Juha tu!!!
 
Unajua unacho kiuliza? Hivi umeona hyo n laboratory ya nn?

Sijajua, nimeona kibao elekezi tu... inatosha kuhitimisha kuwa kijana ni msomi.?

Vipi kama alipiga picha tu kwenye kibao, CV yake inaonesha kasoma DIT tena Diploma... kweli kijana ni msomi.

Relax! Cheers [emoji1635]
 
Kerry ametembeza rushwa sana
Hafai, na hakubaliki Ukonga
CCM wakimpitisha, wajiandae kisaikolojia
 
Ushaur wangu kabla ujatangazania hakikisha ulishawai kuwa ata kiongozi wa vijana wa chama usika angalau ata ngazi ya kata ama tarafa. Sio unakurupuka wakat wanachama hawajawai kuona matunda yako ya uongozi katika ngazi yeyote ya chama
 
Back
Top Bottom