Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigezo inatagemea na mwenyekiti ameamkaje siku hiyo.Kweli ni patashika maana bado kule juu kamati kuu kuna walakin.vigezo na masharti vitakavyo zingatiwa.
Sasa EastAficaRadio na ITV nani mkweli?
Aisee,,,!!ni hatari.Kigezo inatagemea na mwenyekiti ameamkaje siku hiyo.
So aextend ili abaki salama?...Jee madaraka yakiniishia nitakuwa salama kweli?
Anavuta bangi uyo jamaaKwa matokeo ya Mwibara, unapaswa ujitathimini; je, yale yote ufanyayo kudhalilisha watu na kuwatukana ukijifanya unamtetea Rais (bila kutumwa) na unaitetea CCM, je yanathaminiwa au unaonekana kituko tu?
Haiwezekani kwa juhudi zile zote lakini wanaCCM wenzako takribani 400 wakupatie kura sifuri, hata moja ya kudanganyia hakuna?
Hii ni dalili juhudi zile zote unaonekana mjinga tuu na bado kidogo wakuchoke.
AIBU KUBWA
walichakachua siha na mwibaraMkuu japo Musiba kapigwa sana lakini hiyo iligushiwa
Halafu wa kampuni mojaNimeshindwa kuwaelewa wanahabari
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Kwa matokeo ya Mwibara, unapaswa ujitathimini; je, yale yote ufanyayo kudhalilisha watu na kuwatukana ukijifanya unamtetea Rais (bila kutumwa) na unaitetea CCM, je yanathaminiwa au unaonekana kituko tu?
Haiwezekani kwa juhudi zile zote lakini wanaCCM wenzako takribani 400 wakupatie kura sifuri, hata moja ya kudanganyia hakuna?
Hii ni dalili juhudi zile zote unaonekana mjinga tuu na bado kidogo wakuchoke.
AIBU KUBWA
Hukujua kwamba tambo zote zile ilikuwa kutaka atambulike Kiana?Kumbe nae alitia nia?
Unajua unacho kiuliza? Hivi umeona hyo n laboratory ya nn?
Halafu nani atangaze kua upinzani umeshinda?"Wakikata jina tunapigia upinzani." Alisikika mkora mmoja akitamka maneno hayo.