Safi kabisaa, kwnz uelewe kwmb mafisadi hawahatarishi usalama wa taifa letu, ila hao wengine wote uliowataja walikuwa kiruc kwa Nchi yetu ndo maana wale ambao wamepata bahati ya kuwekwa mahabusu wapo huko. Ila hao wengine hutokuja uwaone kwa sababu hawajapotea kwa bahati mbaya. Hata hao wa kwny viroba tuliamua kuwahifadhi kwa njia hiyo ili Tz iendelee kubaki salama,, haya mambo yanafanyika nchi nyingi sana siyo tu hapa kwetu kwa watu ambao ni hatar kwa usalama wa taifa.Ila kwa sababu huyajui haya mambo, utaishia kupiga kelele tu kaka lkn serikali itaendelea kuchkua hatua stahk ili wewe na familia yko muendelee kuwa salama.
 
Mkuu hakikisha hili linawafikia wahusika. bonge la nondo. Big up
Inaonekana una roho mbaya kweli 😂
 
kupewa hiyo nafasi ya kuongoza hapo ndio mtihani wenyewe sasa, mfumo wetu huu ni hatari kwa vyama vingine kuongoza nchi ila fresh kila kitu kinawezekana
 
Missile of the Nation umenena. Naamini wamekusikia. Chukua Balimi 4 hapo grocery kwa Mama Cheupe ntakuja nilipe nikitoka kazini.
 
Tunataka katiba mpya ya wananchi.

Tumechoka kutungiwa katiba na Masisi emu peke yao. Mungu awalani CCM kwa kujimilikisha nchi yetu baada ya kumuondoa mkoloni ,wamekuwa wao ndio Wabaya zaidi .
 
Ili hayo yawezekane uchumi anakuzaje,atawekea mfukoni watu pesa? Hata Marekani changamoto ya ajira ipo tena sana tu huko kwa rafiki zake Kenya ndio usiseme.

Mahusiano na majirani zetu vipi,anajua vita ya kiuchumi huyu?Au ndio atashinda angani akiteketeza kodi zetu kuzurura kila nchi kuomba mahusiano mema?

- Uhuru wa habari wakati TBC mmewafukuza juzi,inamaanisha mkishika dola kila chombo kitakachoongea negative kuhusu ninyi kitakuwa banned.

- Uhuru vipi kwani ninyi hamko huru?

Mbona toka mje mnamtukana Magufuli baba wa watu amejikalia kimya,mna uhuru sana,huo ujinga akajaribu kenya wamuoneshe kunavyoenda,unamtukana Rais wa nchi aje?

Mapungufu kwenye sera zenu mnadanganya watu ni mengi,ila nimechoka kuandika.
 
Lisu hata kwa mtutu hawezi kuwa rais wa tz full stop.
 
Hapa jamaa anapiga mulemule. Wengi sasa wameshaanza kumwelewa LISSU
Kwa tathmini gani mliyofanya. Buddy its just a fifth day since resumption ya campein na sehemu kama dar mmeona mapokezi ya jamaa yalivyokuwa poor na hata Arusha sio pakujiinua the way mnafanya u have a task to do kumuuza kwa wapiga kura wenu thats is to say mfanye kampeni nzito na ya nguvu.
 
Hii imekaa poa. Sema ni ndefu lakknk ngoja nille Birian la Maryam hapa Tabata ndio nije kuisoma vizuri.
 
Nyota njema huonelana asubuhi. Bab yenu kafanya mkutano mmoja tu yuko hoi. Leo lala siku ya tano na siku zinakatika kama barafu kwenye moto. Vijana makamanda wanachanja mbuga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…