YesIla kitu ambacho Chadema wanatakiwa wakishugulikie haraka Lissu asichelewe kuongea maana muda una kua mdogo na mambo mengi mkutano mwingine aanze kuongea saa 9 ikiwezekana kama atakua na pumzi akichoka apewe wa kumsaidia.
Hapana. Ila naona watetezi tv leo wameonyesha nyomi kubwa tu.
Sio mkopo wa benki.Bila ajira hupati mkopo
Membe anakuja na sera za kuwafirisi wanaccm wote waliojirundikia mali hata kama waliandika majina house boy watafukua mpaka wajue, pia atazirejesha nyumba zote za Serikali zilizouzwa, atafanya uchunguzi kwenye miradi yote mikubwa ikiwemo ununuzi wa Ndege, SGR, bwawa la umeme nk.Watu hakuna mkuu kwanini msilete picha zenu tuzione?
Hivi Membe anazindua lini kampeni?
Mzee wetu 2015 alikuwa anaongea dakika 5 tu kigugumizi humohumo kamaliza. Kingunge anaongea mpaka anapigiwa makofi aondokeUmesema kweli. Lissu inabidi aongezewe muda, apewe dakika 45 hadi 50 badala ya kupewa dakika 30 tu
Hana atahali huyo, hata hashimu rungwe anayo sera ya ubwabwa.Kaanza kutangaza sera, sasa utasikia wanakuja na hoja nyingine nyepesi kama hizo fedha atatoa wapi, n.k .Subirini kuwasikia MATAGA.
Ukitaka kujua ugumu wa maisha rejea mwaka 2015 mwezi wa kumi bei za vitu muhimu katika maisha yako ya kila siku kisha weka mshahara wa wakati huo kisha rejea mwaka huu 2020 niambie mshahara ule ule ila gharama za maisha vimepanda je upo tayari kumchagua kuendelea na magu ama kumbadili?Usiseme sehemu kubwa ya Watanzania.
Hivi wafanyakazi wa umma hapa nchini ni % ngapi?
Ataongeza ndege nyengine 5, nilivosikia watu wakiongea.Upande wa pili kaongea Nini huko