Sera za kibunge unamaana gani? Na kwanini zimeweza kufanyika kinyume na yeye anavyosema?(sidhani kama umenielewa)Hizo sera za kibunge na kujipa matumaini haahaahaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sera za kibunge unamaana gani? Na kwanini zimeweza kufanyika kinyume na yeye anavyosema?(sidhani kama umenielewa)Hizo sera za kibunge na kujipa matumaini haahaahaa
Tumani la wasioelewa uhalisia kuwa Magu is Untouchable in ballot Box jifurahishen kila kasema atawafundisha adabu kwa kushindwa kwa Asilina 90%Lissu ni tumaini lenye nguvu.
Bado napenda kuishiDuh! We mtu ulipotea sana humu.
Nadhani ni zaidi ya laki 5 kwa serikali pekee ila kwa mfumo wa maisha ya kibongo ya mjomba, shangazi, bibi, babu etc wanagusa watu wengi sana.Nmeuliza wafanyakazi wa umaa hapa nchinu ni % ngapi?
Wakiamua kukutrace through TIN number huchomoki mkuu labda uishie umachinga tu.Sasa si nitafanya ujasiriamali.
Sio ulazima wa kulipa mkopo ambao silazimishwi kulipa, ambao kulipa ni mpaka niwe na ajira.
Umeaona eeh! Hata mie hili niliongea Jana. Na laiti kama jana kwenye hotuba ya ufunguzi angeunganisha na sera alizomwaga leo nakwambia leo Dar es Salaam nzima ingesimama kawe. Kwakeli katugusa Watanzania.Walianguka kwenye mtego wa CCM. Tena lengo la CCM ni kuwachanganya hadi mjitoe kwenye uchaguzi kama ilivyokuwa kweye serikali za mitaa. Don't fall in their net.
Nadhani hapo amezungumzia kwa upande wa watakao kuwa hawana kipato kabisa ila ukijiajiri/biashara unapaswa ulipe pia.Lissu kasema, ili kulipa mkopo ni mpaka uwe na ajira.
Hahahahhaa Kuna Shida Hapa Kwa hiyo Uongozi Wa kikwete Mlikubalina naona MkapNaongelea CCM kwa uongozi wa Magufuli hawafai kabisa ni zero zero brains.
Kumbe pumzi zinakata mapemaIla kitu ambacho Chadema wanatakiwa wakishugulikie haraka Lissu asichelewe kuongea maana muda una kua mdogo na mambo mengi mkutano mwingine aanze kuongea saa 9 ikiwezekana kama atakua na pumzi akichoka apewe wa kumsaidia.