Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020
Kwa sera anazomwaga Tundu Lissu usipompa kura utakua na lako.

1: Maendeleo ya watu
Wote waliodhurumiwa na kuvunjiwa sehemu za makazi bila compensation watafidiwa

2: Atakuza uchumi na shughuli za maendeleo kwa kupunguza utitiri wa kodi
Toka utitiri wa kodi 1 hadi 1 tu, ambayo ni 10%ya bidhaa ulizoagiza.

3. Kitambulisho cha machinga kutolewa bure

4: Wafanyakazi kutoongezewa mshahara itakuwa mwiko - ataanza kwa kufidia miaka 5 ambayo hawajaongezewa Mshahara.

5. Watumishi waliofukuzwa kazi kwa sababu zisizo na mashiko itaangaliwa namna ya kuwafidia.

6. Mafao ya kustaafu yatalipwa kwa wakati

4: Ataboresha kwa kuongeza wigo wa mikopo ya wanafunzi wa chuo kikuu. Pia ataondoa ongezeko la 15% la marejesho ya mikopo kwa wanufaika

Bado anatema cheche.
Hakuna hata kimoja alichoongea ambacho Kiko kwenye ilani ya Chadema iliyopitishwa na chama anaongea vitu vya kutunga kichwani kwake

Mgombea Uraisi anatakiwa kuwakilisha ilani ya chama chake sio vitu vya kujitungia

Nendeni muone Magufuli alivyowakiwasha ilani ya CCM Leo kwenye uzinduzi

Chadema huu mtindo wenu wa wagombea kujitungia vitu watakavyofanya bila kutumia ilani tumewachoka
 
Lissu kaongea vizuri sana. Amegusia shina la matatizo yetu kama nchi. Kwenye elimu amegusa mshipa mkuu wa tatizo: elimu ya kukariri ili kushinda mtihani badala ya kuelimika. Hii elimu ndiyo imemwathiri hata rais wetu wa sasa Magufuli, ana Phd lakini haonyeshi kuwa na akili za kisomi bali za kukariri. Kwenye afya nako amepatia kabisa. Nimekaa Ulaya muda mrefu na ni kweli kabisa bima ya afya ni kitu mihimu na hakuna mwananchi mwenye uwezo wa kulipia matibabu mwenyewe bila kusaidiwa na bima.
Jana ilikuwa deliberate kuzungumzia engua za MADED, leo kamwaga vitu vikali as expected.
 
Kusema ni rahisi.
===

Ningependa kujua mikakati atakayotumia kufanikasha ahadi hizi! Huku serikali yake ya kufikirika ikiweza kutimiza majukumu yake! Kama kuna mahali amefafanua haya naomba link ya chanzo cha habari hiyo.

Karibu.
 
Katoa point kama mgombea udiwani! Nacheeeka huku naogopa!
 
Ila kitu ambacho Chadema wanatakiwa wakishugulikie haraka Lissu asichelewe kuongea maana muda una kua mdogo na mambo mengi mkutano mwingine aanze kuongea saa 9 ikiwezekana kama atakua na pumzi akichoka apewe wa kumsaidia.

Tatizo siyo pumzi tatizo watu wanakosa hamasa ya kwenda kwakuwa mikutano haitangazwi sana mitaani watumie watu wa matangazo wengi wa watanzania hawana smartphone na kama wanazo siyo wote wanafutilia hayo mambo ya Insta na FB kwahiyo mtaani kunakuwa hakuna hamasa ya hiyo mikutano na hivyo kusababisha watu wachache kujitokeza dakika za mwisho. Kuna tatizo la uhamasishaji.
 
Kusema ni rahisi....
===
Ningependa kujua mikakati atakayotumia kufanikasha ahadi hizi! Huku serikali yake ya kufikirika ikiweza kutimiza majukumu yake! Kama kuna mahali amefafanua haya naomba link ya chanzo cha habari hiyo.

Karibu.
Unataka mikakati gani wakati yeye Hazina itakuwa chini yake? Za kujenga airport Chato zimetoka wapi wakati hata kwenye ilani ya CCM haikuwepo? Wewe hausikii kila siku Magufuli anatuimbia Tanzania ni nchi tajiri sana.
 
Huyu wa Leo ndo Lissu ninayemfahamu mie. Hongera sana Lissu. Leo umetugusa vizuri sana watanzania. Na huu ndo uwe mwendo
Hahaha
Mnahangaika mnoo kumsifia. Hakuna alichoongea zaidi ya lawama na maandamano
 
Ivi Unafikiri Steve Nyerere Angekuwa Mgombea Wa CHADEMA akaandikia kuyaongea Haya Nageshindwa Hahaha Tunachotaka sisi Atuambia Strategy ambazo atatumia kutimiza hayo Maana Hakuna Alichotumbia Atakifanya Kwa mfumi UPI kasema tu Bima ya Afya kwa kila Mtanzania how hamna plan Mnaongea Tu inatakiwa Mtushawish mtanya nini Tofauti na Magufuri mnayoyaongea ni cheap politics
Je, jiwe ametaja strategies zake au nayeye anaishia kusema amalize kazi..Yaani tuendelele na maisha ya maumivu anaother 5 yrs bila ajira
 
Walianguka kwenye mtego wa CCM. Tena lengo la CCM ni kuwachanganya hadi mjitoe kwenye uchaguzi kama ilivyokuwa kweye serikali za mitaa. Don't fall in their net.
Mkuu kwani wapinzani walioenguliwa wamerejeshwa hata mmoja?
 
Naongelea CCM kwa uongozi wa Magufuli hawafai kabisa ni zero zero brains.
Dodoma tumesikiliza hotuba ya waziri wa miundombinu kwa miaka mitano ijayo.

Yani Magufuli hana akili kabisa, pamoja na kuvurunda hivyo kwenye haki za watu bado amekuja na kiburi cha kuongea mambo ya ajabu. Kweli huyu kiongozi ana kiburi aisee
 
nadhan watu wameshikilia zaidi alichokua anasema miezi iliopita , itakua ngumu sana mtu kumwelewa ata akisema ataleta 100K kwa kila mtu nyumbani kwake , inshort mjipange tu upya! ingawa sitakaa nimchague
Alisema Nini Mkuu
 
Back
Top Bottom