Kwa sera anazomwaga Tundu Lissu usipompa kura utakua na lako.
1: Maendeleo ya watu
Wote waliodhurumiwa na kuvunjiwa sehemu za makazi bila compensation watafidiwa
2: Atakuza uchumi na shughuli za maendeleo kwa kupunguza utitiri wa kodi
Toka utitiri wa kodi 1 hadi 1 tu, ambayo ni 10%ya bidhaa ulizoagiza.
3. Kitambulisho cha machinga kutolewa bure
4: Wafanyakazi kutoongezewa mshahara itakuwa mwiko - ataanza kwa kufidia miaka 5 ambayo hawajaongezewa Mshahara.
5. Watumishi waliofukuzwa kazi kwa sababu zisizo na mashiko itaangaliwa namna ya kuwafidia.
6. Mafao ya kustaafu yatalipwa kwa wakati
4: Ataboresha kwa kuongeza wigo wa mikopo ya wanafunzi wa chuo kikuu. Pia ataondoa ongezeko la 15% la marejesho ya mikopo kwa wanufaika
Bado anatema cheche.