Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020
Ivi Unafikiri Steve Nyerere Angekuwa Mgombea Wa CHADEMA akaandikia kuyaongea Haya Nageshindwa Hahaha Tunachotaka sisi Atuambia Strategy ambazo atatumia kutimiza hayo Maana Hakuna Alichotumbia Atakifanya Kwa mfumi UPI kasema tu Bima ya Afya kwa kila Mtanzania how hamna plan Mnaongea Tu inatakiwa Mtushawish mtanya nini Tofauti na Magufuri mnayoyaongea ni cheap politics

Inawezekana ni mzito wa kuelewa, amesema atapunguza kodi ambazo kwa kiasi kikubwa zinachangia kuua biashara pamoja na viwanda na akatoa mfano kuwa Uganda haina bandari lakini watanzania wanakwenda kununua bidhaa huko badala ya uganda kuja kununua Tanzania hivyo atapunguza kodi ili kukuza viwanda na biashara ya ndani pamoja na biashara ya nje kutokana na economy of scale.

Pia amesisitiza uchumi wa sekta binasi badala ya state economy ambayo ilifeli wakati wa Nyerere sasa tunarudi huko ndiyo maana maisha yamekuwa magumu hii awamu ya tano sababu ya kudhoofisha sekta binafsi ambayo ndiyo engine ya kuleta maendeleo katika nchi yoyote, hivyo pesa zitatokana na sekta binasfi ambayo itapewa kipaumbele kwa kuwepo na mfumo rafiki wa kodi.
 
Leo kaenda kwenye hoja na nimefurahi alivyojikita na kujieleza kiufasaha sana. Mambo ya kupigwa risasi n.k tumeshasikia sana na hayawezi kumpa kura. Huko ndio watu wa kawaida wanataka kusikia.

Bravo Tundu Lissu
 
Nategemea ameweka wazi mikakati madhubuti itakayomuwezesha kukusanya mapato yatakayomuwezesha kulipa mafao, mishahara minono kwa watumishi na shughuli za maendeleo.
Akifuta hizo elfu saba saba zenu, pesa wanazolipwa wasiojulikana, wasanii, bilioni 1.2 anayojilipa kila mwezi kufanyia starehe tu na mengineyo mengi ya hovyo, pesa itapatikana kwa wingi.
 
Labda serikali ya MAGUFULI. Akipita Lissu yeye kasema mpaka uwe na ajira. Au ujasiriamali nao ni ajira kwa maana ya general au kawaida.
Yap nimemsikia Lissu kasema hadi upate ajira lakini naamini in general context anamaanisha uwe na kipato, sidhani kama unaweza muacha aliyejiajiri/mfanyabiashara.
 
Usiseme sehemu kubwa ya Watanzania.

Hivi wafanyakazi wa umma hapa nchini ni % ngapi?
Ndugu ambacho hukijui ,mm mtumishi kuna watu kama kumi wananitegemea kulipiwa ada ,wakiumwa kusaidiwa ,kubustiwa katika biashara zao na mabo mengne.Kwahyo watumishi wanabeba watu wengi sana katika nchi hii kulingana na utegmezi ulivyo
 
Inawezekana ni mzito wa kuelewa, amesema atapunguza kodi ambazo kwa kiasi kikubwa zinachangia kuua biashara pamoja na viwanda na akatoa mfano kuwa Uganda haina bandari lakini watanzania wanakwenda kununua bidhaa huko badala ya uganda kuja kununua Tanzania hivyo atapunguza kodi ili kukuza viwanda na biashara ya ndani pamoja na biashara ya nje kutokana na economy of scale.

Pia amesisitiza uchumi wa sekta binasi badala ya state economy ambayo ilifeli wakati wa Nyerere sasa tunarudi huko ndiyo maana maisha yamekuwa magumu hii awamu ya tano sababu ya kudhoofisha sekta binafsi ambayo ndiyo engine ya kuleta maendeleo katika nchi yoyote, hivyo pesa zitatokana na sekta binasfi ambayo itapewa kipaumbele kwa kuwepo na mfumo rafiki wa kodi.
Kwa Hiyo uchumi Wa Uganda ni Mkubwa zaidi ya Tanzania kwa Mifumo ya Kodi kuliko Tanzania Acheni Kudeka hakuna Maendeleo yasio ma maumivu ndani yakoo yaani hata ka CHADEMA wachukue nchi msituamishe kila kitu kitakwenda kama mteremkooo kwanza kujielewa tu hamjielewi mtatauelewesha kweli kuwaelewa MAGUFULI NI NAMBII ASIEKUBALIKA KWAO ILA HUKO DUNIANI WANAMTAMANI Leo kasemaaa Atafundiaha Adubuuu
 
Watu hakuna mkuu kwanini msilete picha zenu tuzione?

Hivi Membe anazindua lini kampeni?
Hii hapa kawe
JamiiForums1392053613.jpg
 
Hakuna hata kimoja alichoongea ambacho Kiko kwenye ilani ya Chadema iliyopitishwa na chama anaongea vitu vya kutunga kichwani kwake

Mgombea Uraisi anatakiwa kuwakilisha ilani ya chama chake sio vitu vya kujitungia

Nendeni muone Magufuli alivyowakiwasha ilani ya CCM Leo kwenye uzinduzi

Chadema huu mtindo wenu wa wagombea kujitungia vitu watakavyofanya bila kutumia ilani tumewachoka
Hebu onyesha kifungu Cha kuongeza ndege nyingine tatu kwenye ilani ya ccm!
 
Yap nimemsikia Lissu kasema hadi upate ajira lakini naamini in general context anamaanisha uwe na kipato, sidhani kama unaweza muacha aliyejiajiri/mfanyabiashara.
Aaah, hapo pagumu. Ila sawa.
 
Hahaha
Mnahangaika mnoo kumsifia. Hakuna alichoongea zaidi ya lawama na maandamano

Naona mnaanza kubaki basi taratibu. Ngoja mashambulizi yazidi kushika kasi lazima mtapoteana. Halafu inatakiwa apate masaa mawili kwenye TV ahojiwe na kujibu maswali kwa ufasaha. Huko kwenye mjadala kwenye TV tunajua Magufuli hatathubutu.
 
Sitashangaa kama CCM watai copy hiyo ilani yao.Imegusa moja kwa moja maisha ya wananchi.
Mwanzo mzuri sana.
 
Back
Top Bottom