bora mim
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 556
- 751
Huyo popoma ata hajui uhusiano katka jamii.Wewe bima ya afya haikuhusu? Au wewe haujawai kuumwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo popoma ata hajui uhusiano katka jamii.Wewe bima ya afya haikuhusu? Au wewe haujawai kuumwa?
Nina wasiwasi, kama hunyonyeshi basi siku zako za kujifungua ziko karibu, au una mimba changa umeanza kutematema mate na kujitapikia?Akifuta hizo elfu saba saba zenu, pesa wanazolipwa wasiojulikana, wasanii, bilioni 1.2 anayojilipa kila mwezi kufanyia starehe tu na mengineyo mengi ya hovyo, pesa itapatikana kwa wingi.
Elimu bure2015 Magufuli hakuwa anafafanua chochote zaidi ya kupiga pushup na kusema, serikali ya Magufuli itakuwa ya hapa kazi tu. Kisha akawa anakazia akiwa rais kuna watu watalimia meno. Lisu weka mashambulizi hapo ccm wanaanza kupaki basi. Ufafanuzi utauona akiwa ikulu fullstop.
UfisadiPesa zote zilizofichwa chato na sehemu zingine zitaenda kuchukuliwa hata mataga hawapendi pesa zao kufichwa chato
Sio kweli bhana. Lile jibwa kule selous limebwabwaja nini?Hahaha
Mnahangaika mnoo kumsifia. Hakuna alichoongea zaidi ya lawama na maandamano
Hawezi kuchokaIla kitu ambacho Chadema wanatakiwa wakishugulikie haraka Lissu asichelewe kuongea maana muda una kua mdogo na mambo mengi mkutano mwingine aanze kuongea saa 9 ikiwezekana kama atakua na pumzi akichoka apewe wa kumsaidia.
VpHiyo ni sheria au kanuni namba ngapi ya Uchaguzi?
Kwa Hiyo uchumi Wa Uganda ni Mkubwa zaidi ya Tanzania kwa Mifumo ya Kodi kuliko Tanzania Acheni Kudeka hakuna Maendeleo yasio ma maumivu ndani yakoo yaani hata ka CHADEMA wachukue nchi msituamishe kila kitu kitakwenda kama mteremkooo kwanza kujielewa tu hamjielewi mtatauelewesha kweli kuwaelewa MAGUFULI NI NAMBII ASIEKUBALIKA KWAO ILA HUKO DUNIANI WANAMTAMANI Leo kasemaaa Atafundiaha Adubuuu
Siku nyingine alikuwa anawaweka attention mataga wapate chakusemaHuyu wa Leo ndo Lissu ninayemfahamu mie. Hongera sana Lissu. Leo umetugusa vizuri sana watanzania. Na huu ndo uwe mwendo
Comrade umepanic 🤣🤣🤣Hajasoma ilani hayo aliyosema hayamo kwenye Ilani ya Chadema
Elimu bure
Mil 50 kila kijiji
Kufufua shirika La ndege
Tanzania ya viwanda
Bajeti ile-ile iliyotumika kujenga Chato International Airport.Kwa bajeti ipi?
Lissu atapata pesa ya kutimiza ahadi zake pale-pale Mzee Pombe alipopata pesa ya kujenga Chato International Airport.Tulia kidogo,nijibu hiyo pesa ataipata wapi ambapo Magufuli kashindwa kuipata?