YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Ilani ya chama ndio Mkataba Kati ya mpiga kura na mgombea ,Hashim Rungwe na Lisu tupeni ilani za vyama vyenu sio porojo
Hashim Rungwe amekuwa akizunguka na sufuria za wali na kuongea vitu visivyo kwenye Ilani ya chama chake pia Lisu naye amekuwa akipiga porojo
Tunaomba ilani zenu za vyama
Hashim Rungwe amekuwa akizunguka na sufuria za wali na kuongea vitu visivyo kwenye Ilani ya chama chake pia Lisu naye amekuwa akipiga porojo
Tunaomba ilani zenu za vyama