Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020
To be honest, Leo Tundu ameongea point sana, jamaa anajua kulitawala jukwaa na kwa aliyoyaahidi kama ni kweli yakitekelezwa hapo baadae yatafuta machungu ya watu wengi sana, Leo alijipanga sana. Mwenyezi Mungu amtangulie.

Hayatekelezeki ni mambo ya kujifurahisha tu
 
Lissu atapata pesa ya kutimiza ahadi zake pale-pale Mzee Pombe alipopata pesa ya kujenga Chato International Airport.

Mataga leo speech ya Lissu imewauma mnoooo kwa kuwa imegusa watanzia wanaotaabishwa na Mzee pombe na CCM.
Hakuna sera
 
Alisema Nini Mkuu


tayar ameshakua potrayed as someone anaetaka kuuza nchi na ukiskiliza hotuba zake hua anakazia sana mahusiano na nchi zingine, watanzania ni watu ambao ni social na wajamaa, ni tafaut na nchi zingine! ukisema swala la kuweka watu kutoka nje tz tayar ni doa kwa sababu ya ule ujamaa tulionao, so he is already out of the game na sidhan kama watu watamwelewa tena kwa jinsi anavokua potrayed jumlisha na ule mkasa wa madini, inshort he is already out of the game mda mrefu

ukiangalia spunda na lissu, utaona kabisa hata ile mada ya kusema ataleta ubwabwa inaonekana ina mashiko zaidi ya kelele za lissu, ameshaharibu mchezo na ni mda muafaka wa kusema bye kwa chadema
 
Kama majibu ndiyo haya yaani ndiyo msimamo wa Chadema juu ya mambo mazito ya nchi,basi sikusumbui tena kukuomba ufafanuzi. Lakini, kama unapotosha, kwamba huu siyo msimamo wa Chadema basi, Mkuu, unakihujumu chama hicho. Hii si sahihi
- - -
Lissu ajiepushe na ahadi za " kujazana mapesa" za kipindi kile cha Mzee Cheyo. Ataabika zaidi kwenye sanduku la kura. Tanzania 2020 siyo ya 1995. Watanzania kwa sasa wanatumia tafakuri tunduizi kufanya maamuzi kwa kiwango cha hali ya juu.
Mkuu alietuahidi kutujaza mapesa million 50 kila Kijiji ni Cheyo?.
 
Hakuna hata kimoja alichoongea ambacho Kiko kwenye ilani ya Chadema iliyopitishwa na chama anaongea vitu vya kutunga kichwani kwake

Mgombea Uraisi anatakiwa kuwakilisha ilani ya chama chake sio vitu vya kujitungia

Nendeni muone Magufuli alivyowakiwasha ilani ya CCM Leo kwenye uzinduzi

Chadema huu mtindo wenu wa wagombea kujitungia vitu watakavyofanya bila kutumia ilani tumewachoka
Haha ha! Unapata shida sana. Watanzania wamechoka hadithi za ndege mnazoambiwa zenu wakati hata baiskeli huna, reli wakati Tunduru sio reli tuu Bali hata barabara hawaijui.

Hakika Magufuli ni Mshamba sana na taifa kuongozwa na mshamba ni bahati mbaya. I'm sorry kwa nilio wauzi
 
tayar ameshakua potrayed as someone anaetaka kuuza nchi na ukiskiliza hotuba zake hua anakazia sana mahusiano na nchi zingine, watanzania ni watu ambao ni social na wajamaa, ni tafaut na nchi zingine! ukisema swala la kuweka watu kutoka nje tz tayar ni doa kwa sababu ya ule ujamaa tulionao, so he is already out of the game na sidhan kama watu watamwelewa tena kwa jinsi anavokua potrayed jumlisha na ule mkasa wa madini, inshort he is already out of the game mda mrefu

ukiangalia spunda na lissu, utaona kabisa hata ile mada ya kusema ataleta ubwabwa inaonekana ina mashiko zaidi ya kelele za lissu, ameshaharibu mchezo na ni mda muafaka wa kusema bye kwa chadema
Hizi ni hisia tu mkuu
Watz wa kawaida tumemuelewa Sana Lissu

Kajibu hoja halisi za maisha ya watanzania
 
Back
Top Bottom