Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020
Kwa hiyo mzalendo ni yule anayebana maisha ya watumishi kwa miaka mitano pasipo kuongeza mishahara?
lakini angalia mishahara ilivyo na uhakika kabla ya tarehe 30 kitu kinajibu accountini mlikuwa mmzoea kula mishahara miwili mitatu ya wafanyakazi hewa ndiyo mnao pata shida mmezoea vya kunyonga
 
lakini angalia mishahara ilivyo na uhakika kabla ya tarehe 30 kitu kinajibu accountini mlikuwa mmzoea kula mishahara miwili mitatu ya wafanyakazi hewa ndiyo mnao pata shida mmezoea vya kunyonga
Sasa mkuu kwa hiyo kuleta Mishahara tarehe 22 ya kila mwezi ina tofauti gani na tarehe 30 ya kila mwezi? Ukitulia chini utajua kwamba siku 30 ni zilezile!

Kingine sio kila mtu anayelalamika kua Mishahara haijaongezwa toka 2015 sio kwamba alikua mpigaji, Najua una akili pia, jifunze kutofautisha!
 
Sasa mkuu kwa hiyo kuleta Mishahara tarehe 22 ya kila mwezi ina tofauti gani na tarehe 30 ya kila mwezi? Ukitulia chini utajua kwamba siku 30 ni zilezile!

Kingine sio kila mtu anayelalamika kua Mishahara haijaongezwa toka 2015 sio kwamba alikua mpigaji, Najua una akili pia, jifunze kutofautisha!
maana ya mshahara kuwahi ni hii mkuu mwanzo ilikuwa inachelewa mpaka 30 zinapita na haikuwa regular mpaka miezi inakutrana sasa hivi haipo hii maana ni watumishi halali tu
 
Mtu ambaye ameumizwa kwa sababu alizozitaja kua ni mambo ya kisiasa, kisha wakatitokeza watu kwenye mitandao ya kijamii wakiwalaumu wasiojulikana kwa kushindwa kumuondoa, bado amerudi kwenye ardhi yake, ameamua kuifia ardhi yake. Huyu ni mzalendo anayepaswa kuungwa mkono na watanzania wote, tumpe nchini mifumo yote ya kiutawala ya mkoloni ifimuliwe wananchi waifaidi nchi yao.

AMEANZA KULITUMIKIA TAIFA MUDA MREFU SANA?
Wakati huyu mtukufu wetu akipiga makofi bungeni kupongeza RICHMOND, IPTL, ESCROW,EPA nk, Tundu Lissu wakati huo analala mahabusu za polisi kwa tuhuma za uchochezi kwa kuwatetea wananchi walioporwa ardhi zao huko Kisasida Singida bila kuwadai chochote, alilala polisi mgodi wa Nyamongo kuwatetea wananchi wasiokua na utetezi kisha wakashindwa.
Mtu kama huyu utakosaje kumuita mzalendo.

CCM IMEJAWA HOFU YA LISSU( LISSUPHOBIA)
Wanachofanya CCM siyo kwamba wanamchukia Lissu, wanaelewa kabisa kua mifumo ya utawala ya nchi yetu ni mibovu ikiwa ni pamoja na katiba mbovu, kwahiyo wanajua akiingia Lissu hakuna jiwe Litakalosalia. CCM sasa haipambani kutetea shida za wananchi, inapambana kumzuia Lissu asiingie Ikulu ili walinde maslahi yao na familia zao.
Anaedhamilia kufukuza machinga mijini ni mzalendo huyo
 
maana ya mshahara kuwahi ni hii mkuu mwanzo ilikuwa inachelewa mpaka 30 zinapita na haikuwa regular mpaka miezi inakutrana sasa hivi haipo hii maana ni watumishi halali tu
Kaka nenda kamdanganye mtoto huko! Naongea kitu ambacho ninakijua vizuri!

Haya na sababu ya kutoongeza Mishahara ni ipi? na kama kujenga wenzie walijenga na mishahara waliongeza pia!

Katika mambo ambayo Magufuli amefeli kabisa ni kuhusu Mishahara na ajira!! Alifukuza wafanyakazi hewa lakini hakuajiri wala kuongeza mishahara!

Naomba uongee logically na sio ushabiki kwenye maisha ya watu mkuu!
 
Ni yeye tu
IMG_20200916_081205.jpeg
 
mzee wa Miga... the scare tactics

kontena zinazuiwa yeye anakuwa mkali[emoji3][emoji3]

Mtu ambaye ameumizwa kwa sababu alizozitaja kua ni mambo ya kisiasa, kisha wakatitokeza watu kwenye mitandao ya kijamii wakiwalaumu wasiojulikana kwa kushindwa kumuondoa, bado amerudi kwenye ardhi yake, ameamua kuifia ardhi yake. Huyu ni mzalendo anayepaswa kuungwa mkono na watanzania wote, tumpe nchini mifumo yote ya kiutawala ya mkoloni ifimuliwe wananchi waifaidi nchi yao.

AMEANZA KULITUMIKIA TAIFA MUDA MREFU SANA?
Wakati huyu mtukufu wetu akipiga makofi bungeni kupongeza RICHMOND, IPTL, ESCROW,EPA nk, Tundu Lissu wakati huo analala mahabusu za polisi kwa tuhuma za uchochezi kwa kuwatetea wananchi walioporwa ardhi zao huko Kisasida Singida bila kuwadai chochote, alilala polisi mgodi wa Nyamongo kuwatetea wananchi wasiokua na utetezi kisha wakashindwa.
Mtu kama huyu utakosaje kumuita mzalendo.

CCM IMEJAWA HOFU YA LISSU( LISSUPHOBIA)
Wanachofanya CCM siyo kwamba wanamchukia Lissu, wanaelewa kabisa kua mifumo ya utawala ya nchi yetu ni mibovu ikiwa ni pamoja na katiba mbovu, kwahiyo wanajua akiingia Lissu hakuna jiwe Litakalosalia. CCM sasa haipambani kutetea shida za wananchi, inapambana kumzuia Lissu asiingie Ikulu ili walinde maslahi yao na familia zao.
 
Hatumpi mtu nchi ili aongoze kwa matamko ya beberu wake!

Katika wagombea wote waliowahi kugombea kupitia chadema, Lisu ndio atatia aibu kuliko wote
 
Tundu
Mwinyi
Mkapa ..

Jakaya
Kawawa
Makamba
Nyerere.

Umegundua nini kwenye haya majina?

Ni Tundu na Nyerere tu wenye herufi tofauti kwenye majina yao yasiyopatikana kwa wenzao wote.
 
Kaka nenda kamdanganye mtoto huko! Naongea kitu ambacho ninakijua vizuri!

Haya na sababu ya kutoongeza Mishahara ni ipi? na kama kujenga wenzie walijenga na mishahara waliongeza pia!

Katika mambo ambayo Magufuli amefeli kabisa ni kuhusu Mishahara na ajira!! Alifukuza wafanyakazi hewa lakini hakuajiri wala kuongeza mishahara!

Naomba uongee logically na sio ushabiki kwenye maisha ya watu mkuu!
WEWE NDIYO UNAONGEA USHABIKI nafikiri hata katika familia yako unamambo mengi ya kufanya lakini huwezi kuyafanya yote kwa wakati mmoja angalia na mambo aliyorekebisha usikimbilie mshahara kupanda tu
 
WEWE NDIYO UNAONGEA USHABIKI nafikiri hata katika familia yako unamambo mengi ya kufanya lakini huwezi kuyafanya yote kwa wakati mmoja angalia na mambo aliyorekebisha usikimbilie mshahara kupanda tu
Kaka mishahara kupanda ilikuwa ni sheria ambayo ilikuwepo hata kabla yake! iweje yeye aje kuinyang'anya haki ya watumishi kwa nguvu kwa kisingizio cha miradi?
Mausha yanapanda gharama, vitu vinapanda bei toka 2015, ila mishara ipo palepale! Watu wakilalamika mnasema walikua wapigaji! Yaani kwamba ninyi hamuoni au?
 
Back
Top Bottom