Sasa wewe mwanamke unapata wapi ujasiri wa kumbishia mumeo? Hebu nenda kaandae chai haraka!Mpe nchi yako ww na mkeo
mmmmmhhh????Tundu
Mwinyi
Mkapa ..
Jakaya
Kawawa
Makamba
Nyerere.
Umegundua nini kwenye haya majina?
lakini angalia mishahara ilivyo na uhakika kabla ya tarehe 30 kitu kinajibu accountini mlikuwa mmzoea kula mishahara miwili mitatu ya wafanyakazi hewa ndiyo mnao pata shida mmezoea vya kunyongaKwa hiyo mzalendo ni yule anayebana maisha ya watumishi kwa miaka mitano pasipo kuongeza mishahara?
Sasa mkuu kwa hiyo kuleta Mishahara tarehe 22 ya kila mwezi ina tofauti gani na tarehe 30 ya kila mwezi? Ukitulia chini utajua kwamba siku 30 ni zilezile!lakini angalia mishahara ilivyo na uhakika kabla ya tarehe 30 kitu kinajibu accountini mlikuwa mmzoea kula mishahara miwili mitatu ya wafanyakazi hewa ndiyo mnao pata shida mmezoea vya kunyonga
maana ya mshahara kuwahi ni hii mkuu mwanzo ilikuwa inachelewa mpaka 30 zinapita na haikuwa regular mpaka miezi inakutrana sasa hivi haipo hii maana ni watumishi halali tuSasa mkuu kwa hiyo kuleta Mishahara tarehe 22 ya kila mwezi ina tofauti gani na tarehe 30 ya kila mwezi? Ukitulia chini utajua kwamba siku 30 ni zilezile!
Kingine sio kila mtu anayelalamika kua Mishahara haijaongezwa toka 2015 sio kwamba alikua mpigaji, Najua una akili pia, jifunze kutofautisha!
Anaedhamilia kufukuza machinga mijini ni mzalendo huyoMtu ambaye ameumizwa kwa sababu alizozitaja kua ni mambo ya kisiasa, kisha wakatitokeza watu kwenye mitandao ya kijamii wakiwalaumu wasiojulikana kwa kushindwa kumuondoa, bado amerudi kwenye ardhi yake, ameamua kuifia ardhi yake. Huyu ni mzalendo anayepaswa kuungwa mkono na watanzania wote, tumpe nchini mifumo yote ya kiutawala ya mkoloni ifimuliwe wananchi waifaidi nchi yao.
AMEANZA KULITUMIKIA TAIFA MUDA MREFU SANA?
Wakati huyu mtukufu wetu akipiga makofi bungeni kupongeza RICHMOND, IPTL, ESCROW,EPA nk, Tundu Lissu wakati huo analala mahabusu za polisi kwa tuhuma za uchochezi kwa kuwatetea wananchi walioporwa ardhi zao huko Kisasida Singida bila kuwadai chochote, alilala polisi mgodi wa Nyamongo kuwatetea wananchi wasiokua na utetezi kisha wakashindwa.
Mtu kama huyu utakosaje kumuita mzalendo.
CCM IMEJAWA HOFU YA LISSU( LISSUPHOBIA)
Wanachofanya CCM siyo kwamba wanamchukia Lissu, wanaelewa kabisa kua mifumo ya utawala ya nchi yetu ni mibovu ikiwa ni pamoja na katiba mbovu, kwahiyo wanajua akiingia Lissu hakuna jiwe Litakalosalia. CCM sasa haipambani kutetea shida za wananchi, inapambana kumzuia Lissu asiingie Ikulu ili walinde maslahi yao na familia zao.
Kaka nenda kamdanganye mtoto huko! Naongea kitu ambacho ninakijua vizuri!maana ya mshahara kuwahi ni hii mkuu mwanzo ilikuwa inachelewa mpaka 30 zinapita na haikuwa regular mpaka miezi inakutrana sasa hivi haipo hii maana ni watumishi halali tu
Mtu ambaye ameumizwa kwa sababu alizozitaja kua ni mambo ya kisiasa, kisha wakatitokeza watu kwenye mitandao ya kijamii wakiwalaumu wasiojulikana kwa kushindwa kumuondoa, bado amerudi kwenye ardhi yake, ameamua kuifia ardhi yake. Huyu ni mzalendo anayepaswa kuungwa mkono na watanzania wote, tumpe nchini mifumo yote ya kiutawala ya mkoloni ifimuliwe wananchi waifaidi nchi yao.
AMEANZA KULITUMIKIA TAIFA MUDA MREFU SANA?
Wakati huyu mtukufu wetu akipiga makofi bungeni kupongeza RICHMOND, IPTL, ESCROW,EPA nk, Tundu Lissu wakati huo analala mahabusu za polisi kwa tuhuma za uchochezi kwa kuwatetea wananchi walioporwa ardhi zao huko Kisasida Singida bila kuwadai chochote, alilala polisi mgodi wa Nyamongo kuwatetea wananchi wasiokua na utetezi kisha wakashindwa.
Mtu kama huyu utakosaje kumuita mzalendo.
CCM IMEJAWA HOFU YA LISSU( LISSUPHOBIA)
Wanachofanya CCM siyo kwamba wanamchukia Lissu, wanaelewa kabisa kua mifumo ya utawala ya nchi yetu ni mibovu ikiwa ni pamoja na katiba mbovu, kwahiyo wanajua akiingia Lissu hakuna jiwe Litakalosalia. CCM sasa haipambani kutetea shida za wananchi, inapambana kumzuia Lissu asiingie Ikulu ili walinde maslahi yao na familia zao.
Ni yeye wakala wa beberuNi yeye tuView attachment 1571153
Tundu
Mwinyi
Mkapa ..
Jakaya
Kawawa
Makamba
Nyerere.
Umegundua nini kwenye haya majina?
WEWE NDIYO UNAONGEA USHABIKI nafikiri hata katika familia yako unamambo mengi ya kufanya lakini huwezi kuyafanya yote kwa wakati mmoja angalia na mambo aliyorekebisha usikimbilie mshahara kupanda tuKaka nenda kamdanganye mtoto huko! Naongea kitu ambacho ninakijua vizuri!
Haya na sababu ya kutoongeza Mishahara ni ipi? na kama kujenga wenzie walijenga na mishahara waliongeza pia!
Katika mambo ambayo Magufuli amefeli kabisa ni kuhusu Mishahara na ajira!! Alifukuza wafanyakazi hewa lakini hakuajiri wala kuongeza mishahara!
Naomba uongee logically na sio ushabiki kwenye maisha ya watu mkuu!
[emoji23][emoji23][emoji111][emoji111] kwanini unateseka Dada?Ni yeye wakala wa beberu
Kaka mishahara kupanda ilikuwa ni sheria ambayo ilikuwepo hata kabla yake! iweje yeye aje kuinyang'anya haki ya watumishi kwa nguvu kwa kisingizio cha miradi?WEWE NDIYO UNAONGEA USHABIKI nafikiri hata katika familia yako unamambo mengi ya kufanya lakini huwezi kuyafanya yote kwa wakati mmoja angalia na mambo aliyorekebisha usikimbilie mshahara kupanda tu
Huyu oktoba tutamrudisha kwa beberu wake Amsterdam[emoji23][emoji23][emoji111][emoji111] kwanini unateseka Dada?
Alaah! Ni yeye 2020.View attachment 1571158
[emoji23][emoji23][emoji111][emoji111] WE ULISIKIA WAPI???Huyu oktoba tutamrudisha kwa beberu wake Amsterdam
Kumbe wewe hata Mwaka bado haujaisha? Aisee kama ni Kwa NSSF utasubiri Sana. Ni wababaishaji Sana.Ela yangu mpaka leo sijaipata nayo dai katika mfuko mmoja wapo , ela ya ukosefu wa ajira. Unaelekea kuisha mwaka sasa.
Ni yeye hawezi kuwa rais. Mwambieni aandae kabisa mabegi ya kurudi kwa beberu wake ubelgiji baada ya oktoba