CCM kung'oka ni ngumu, ni kama mpini wa baiskeli hadi nyundo itumike.
Sihitaji kutumia sana nguvu kufafanua wengi mnafatilia kampeni.
1. Kufumua TRA na genge lote la walanguzuzi.
2. Utawala wa majimbo.
Katiba mpya.
Hayo mengine ni nyongeza.
Kama CCM ingeishi humo ingependwa sana