Huna lolote,wewe ni mamluki wa CCM!kabla sijaona video nilitaka kushangaa.mim huko napajua na juz juz tumepanda tren tabora ndio kwetu treni ipo.uongo gani huu jamani.Kwa kweli tusikubal kudanganywa hiv.Tren ya mwendo kasi inakuja hadi huku kwetu itakua ni kuteleza.Treni ipo tena shanting kwa wanaojia njia hizo saranda tunakula na mayai
Tatizo la Lisu ni muongo sana hata huwezi jua muda gani anaongea ukweli.
Ameshazusha Mambo mengi ambayo kwa watu wasio wafia vyama wanamuona Kama tapeli tuu
Kwan kod ni nin??? Hahaha chadema mtaalalisha kila kitu mwaka huuI’m short hujui maana ya kodi, si kila mchango ni kodi.
Tusitoke nje ya madaHaki ya kikatiba ni sawa na Uhuru wa vyombo vya habari ,Uhuru wa watu kutoa maoni yao,yote tumepokonywa tuna jambo letu 28 October
Tusitoke nje ya madaKatiba ipi? Hamtaamini matokeo. Na mkiyagusa, The Hague"
Hata kidogoHawa sio wa kuaminiwa
Video umeiona?tunamkubali,tunamwamini
Nchi gani duniani inayoendeshwa bila kodi?
Kwan alie amua mbowe achukuliwe ndege aende Dar kufungwa hogo kwenye mguu ulio teguka ni Nan??? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kodi yetu inakusanywa kweli lakini inafanya nini? Unajisifu unakusanya Tirilioni halafu unakaa na Mpwa wako mnajiamulia cha kufanya
Video umeiona?Kwanza Lissu ni democrat , pili ni mfuasi wa katiba ya wananchi . Haamini ktk utawala wa mkono wa chuma. Tatu anaamini ktk diplomacy.