Msukuma Original
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 928
- 3,330
Fao la kujitoa nalo ni sindano kali kwa ccm. Limesababisha umaskini kwa vijana waliokuwa na ndoto za kujiajiri.
In fact ni ujambazi wa kung'ang'ania hela za mtu kwa lazima wakati mwenye hela anataabika.
In fact ni ujambazi wa kung'ang'ania hela za mtu kwa lazima wakati mwenye hela anataabika.