Uchaguzi 2020 Ahadi na Sera za Tundu Lissu katika Uchaguzi Mkuu 2020
Kwenye mikutano yako

A. Anza kuwakumbusha wananchi ulaghai wa CCM kwa kutoa ahadi za uwongo kwa wananchi kwenye ILANI YAO ILIYOPITA NA MIKUTANO YAO YA KAMPENI na hivyo basi wananchi wawakatae kwa sababu hata wanayoahidi sasa hawatatekeleza

1) Wakumbushe wananchi jnsi CCM ilivyoahidi katiba mpya kwenye ilani ya mwaka 2015 lakini Rais Magufuli akakataa baada ya kuapishwa akadai eti hakuinadi kwenye ksmpeni wakati imo kwenye ilani yao-Waulize wananchi kama wanaweza kuendelea kuwaamni watoa ahadi za uowongo

2)Wakumbushe wananchi ahadi ya CCM iiyoko kwenye ilani yao ya 2015 kuwa watatoa milioni 50 kila kijiji—Mpaka sasa hawajatoa hata thumni, Waulize wananchi wana sababu gani za kuendelea kuamini watu waongo

3)Wakumbushe wananchi namna Magufuli alivyoahidi kugawa laptop kwa kila mwalimu ili imsaidie kuboresha ufudishaji—Waulize wananchi ziko wapi hizo laptop na pia waulize wananchi kwa vipi waendelee kuamini watu wasioishi neno lao?

4) Wakumbushe wananchi namna ilani ya uchaguzi ua CCM ya mwaka 2015 inavyozugumzia kuendelezwa kwa sera ya kilimo kwanza lakini Magufuli alipoingia tu miongoni mwa vitu alivyoanza navyo ni kuifutilia mbali sera hiyo licha ya kuwa ni mpango upo katika ilani yao ya mwaka huo

5. Wakumbushe wananchi jinsi Ilani ya CCM ya mwaka 2015 ilivyosema kuwa watoto watakaopata ujauzito serikali haitowafukuza shule—Wakumbushe jinsi Magufuli alivyoingia madarakani alivyokana ilani yake mwenyewe kwa kusema kuwa hao mabinti wakipata mimba atawafukuza shule za serikali kwa sababu hasomeshi wazazi.

B) Anza kuwaambia wananchi Ulaghai wa CCM ya sasa na hivyo Wasiiamini tena kuipa kura

1. Bashiru aliuambia umma kuwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawatotumia wasanii—Uongo mtupu, leo CCM wamegeuka waandaaji wakubwa wa disco za hadhara, juzi dodoma kulikuwa na wasanii zaidi ya 100. Kwa sababu CCM hawana sera za maana za kushawishi wananchi, wanasafiria nyota za wasanii

2)Wakumbushe wananchi kauli ya Magufuli mwanzoni mwa mwaka huu kuwa uchaguzi utakuwa huru na haki—Lakini mpaka hivi sasa tangu njama za kuengua wapinzani na kuvuruga uchaguzi ili CCM ipate ushindi wa mezani inaonyesha namna kauli kutoka kwa viongozi wa CCM jinsi zisivyo za kweli.

3)Wakumbushe wananchi jinsi CCM ilivyojifanya kupiga mkwara kuwa haitopitisha watoa rushwa kwenye kugombea, lakini pamoja na hayo wameishia kuteua wagombea wengine waliokamatwa kwa rushwa waziwazi na badala ya TAKUKURU iliyo chini ya serikali kufanya kazi yake, nayo imeacha kutimiza wajibu wake kwa kuwafumbia macho—Waulize wananchi wana sababu gani ya kumuamini Magufuli wakati ameshindwa kusimamia kauli ya chama chake ya awali kuhusu watoa rushwa?. Pia waulize wananchi, iweje wachague chama kuunda serikali, chama ambacho wagombea wake wamepatikana kwa rushwa, Je chama hicho kitaweza kupambana na rushwa na ufisadi wakati hawahawa wanaotegemea kupigana vita hiyo wamepatikana kwa rushwa?

C) Kila kituo cha kampeni utakachokwenda anza kupre-empt na kuneutralize Talk points za CCM
1. Tafuta rebuttal nzuri sana ya Ishu ya SGR hii usipinge ujenzi wake, pinga namna inavyojengwa, tafuta data za mikopo ya ujenzi wa reli hii na itaavyowatia umasikini watoto wetu kwa sababu ya deni la Taifa kupaa sana. Waonyeshe wananchi kuwa unaunga mkono ujenzi wa SGR ila kwa mpango mbadala (chukua ule mpango wa ACT wazalendo wa kujenga SGR kupitia PPP), na pia mataaluma ya reli tunaagiza nje, tunapeleka mabilioni ya dola nje badala ya kuboresha kwanza Liganga na mchuchuma ili chuma chetu cha ndani ndo kijenge mataaluma hayo, ili pesa hiyo ndefu na ajira zibaki ndani badala ya kuwapelekea wajapan dola hizo na ajira kwao

2. Kuhusu Stieglers, Usiupinge mradi bali pia kosoa namna ya ujenzi wa mradi huo, tafuta data unajengwaje, wananchi wananufaikaje, je kuna technology transfer au tunaishia kuwa wabeba zege na mafundi mchundo tu?. Waambie wananchi kuwa ukiacha Stieglers wewe utajenga Vinu vingine vya umeme kwa kutumia gesi ya Mtwara, umeme utakaokuwa mwingi kuliko utakaozalishwa na Bwawa la Stieglers. Stieglers itazalisha around Megawatts 2000 na ushehe, wewe plan yako ionyeshe utaleta umeme wa gesi mkubwa mara tatu ya huo

3. Kuhusu ndege, hiyo endelea kuponda, piga spana kwelikweli, ni mradi feki

4. Kuhusu kujenga uwanja wa ndege Chato, yaani hii usiiache kila mahali, piga spana, piga nyundo, siliba kwelikweli

5. Kuhusu Elimu bure, waambie wananchi juubya uwepo wa waraka wa siri wa wakuu wa shule kuendelea kuwachangisha wazazi baadhi ya michango, waambie kuhusu michango ya baadhi ya mikoa wazazi kuambiwa kila abayeanza kidato cha kwanza aende na dawati lake mwenyewe!. Waambie hii Elimu ni elimu gani wakati mwanafunzi anaambiwa aende na dawati lake. Waambie wananchi kuwa wewe utakuja na mpango mzuri zaidi wa elimu bure tena siyo bure tu bali iliyobora na ikikupendeza mheshimiwa rais mtarajiwa ifanye iwe bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha sita!. Mpango wako wa Elimu uwe ELIMU BURE NA BORA KWA WOTE! (haya ni maoni yangu binafsi yakikupendeza yachukue)

C). Kwenye kutafuta kura kutoka kwa makundi maalum ya kijamii

1. Kwa waislamu, tumia kauli indirectly kuwa "Sitoteua watu kwa wingi kuliko wangine kwa sababu ni wa imani yangu bali nitateua kwa vigezo na vigezo ninavyovitska vipo kwa watu wa imani zote—Hapa utakuwa umemchapa Jiwe konzi moja nzito mno na Waislamu watakuelewa sana maana teuzi za Jiwe zinanuka udini mno na waislamu linawachukiza sana hilo

2)Endelea kuwasemea Masheikh waislamu, Jana umefanya kazi nzuri sana Arusha kwa kuwasemea Masheikh 70 wa arusha walioko ndani.
Pia endelea kuwasemea Masheikh wa Zanzibar (Usitumie neno Masheikh wa uamsho, hilo neno ni divisive, Tumia tu neno Viongozi wa dini ya kiislamu walioko jela), Wakumbushe waislamu kuwa Magufuli amrshasamehe wafungwa wa kila aina wakiwemo waliofungwa kwa ubakaji lakini anaona tabu kuwaachia Masheikh

3)Kundi la wanawake, wakumbushe wananchi jinsi Magufuli alivyoteua wanawake wachache mno katika serikali yake kulingsnisha na Kikwete, hii itasaidia kuneutralize soft power ya uwepo wa makamu wa rais mwanamke katika tiketi yake.
Umefanya kazi nzuri kumsiliba Maguful kwa kauli zake tata juu ya wanawake, kauli ile ya jogoo usiiache, endelea kupiga spana, kauli ile ya kupiga mashangazi endelea kupiga nyundo, kauli.

Endelea kuwakumbusha wanawake kuwa mwaka 2015 Magufuli aliwaahidi kuwatua ndoo kichwani, yaani akimaanisha kuwaletea maji. Lakini badala ya kuwaletea maji kwa kasi ya kutosha yeye anachukua pesa ananunulia ndege na kujenga uwanja wa ndege Chato

E. Endelea kuwakumbusha wananchi juu ya Ufisadi

Ishu ya Trilion 1.5 zisizo na maelezo yenye mashiko bado ipo kwenye kumbukumbu za wananchi, japo waliunda kamati ya kuwasafisha, lakini maelezo yao hayana mashiko, Endelea kuwakumbusha wananchi juu ya utata wa Trilion 1. 5
Usisahau kuwakumbusha wananchi Jinsi CAG Assad alivyotimuliwa kwa kusimamia taaluma yake ya uhasibu na pia jinsi manunuzibya ndege yasivyokaguliwa kutokana na Jiwe kuweka ishu za ndege chinibya ofisi ya rais ambayo haikaguliwi na CAG

F. Usisahau ishu ya Maji na Kilimo
Maji bado ni tatizo kubwa, hili umepwaya kidogo, hujaligusia kabisa katika hotuba zako
Pia Kilimo hujakizungumza in details, tafuta mpango mkakati wa kuuza sera zako za kilimo kwa wananchi, waambie wwnanchi serikali yako itakavyowatafutia soko la mazao yao kupitia balozi zilizo nje. Badala ya mabalozi kukaa huko nje na kuuza sura, waanze sasa diplomasia ya kiuchumi ikiwemo kuwatafutia wakulima wetu masoko ya mazao yao ya kilimo.

G. Usiache hata kidogo kuwakumbusha wananchi magumu ya kiuchumi waliyopitia, uwe unawauliza kwenye kia mkutano wako, Je wako tayari kuendelea na mifuko iliyokauka kwa miaka mingine mitano?. Waulize wananchi je bado wanataka kuendelea na vyuma kukaza?. Waulize wananchi kuwa wako tayari kuendelea kukamuliwa na trafiki buku tano tano ili zikang'arishe viatu vya Trafiki? —Waambie wananchi kuwa kama hawataki hayo basi wampige chini Magufuli wakuchague wewe ukarekebishe mambo.

H. Lissu baba, wakumbushe wananchi juu ya adha za faini ya tochi za Trafiki —Waambie wananchi kuwa hutogeuza tochi chanzo cha mapato, bali utaongeza hata speed limit kwenye barabara kuwa 80 hadi 100 kulingana na mahali husika, badala ya 50 hata sehemu zilizowazi kabisa.

Aisee kaka Lissu, Ukiendelea kumwaga sera zako ulizoanza kumwaga kisha ukaongezea na hizi CCM watatafutana!

Piga Spana kaka
Mwanahabari Huru please take note of this. Timu ya wataalamu wa kufanya summary ya hizi points iwepo hapo kwa kazi hii tu! Kuna mambo mazuri sana humu ya ku adapt!
 
Missile of the Nation,
Hiyo itakuwa siyo mkutano ya kunadi sera bali kukumbushana yaliyopita!
Watu ni wepesi wa kusahau, uwakumbushe kuwa Magu ni mwongo msimwamini tena na tena. Then unapiga sera/ilani. Muda umetengwa hivi:
1. 1 hr or so......... kumbusha uongo/mauaji/wizi/utekaji/utesaji/UUAJI=Ben, Mawazo na wengine/ kukosa uhuru wa kutoa maoni/ etc etc etc
2. 2 hr or so.......piga ILANI/sera etc etc etc
 
Watu ni wepesi wa kusahau, uwakumbushe kuwa Magu ni mwongo msimwamini tena na tena. Then unapiga sera/ilani. Muda umetengwa hivi:
1. 1 hr or so......... kumbusha uongo/mauaji/wizi/utekaji/utesaji/UUAJI=Ben, Mawazo na wengine/ kukosa uhuru wa kutoa maoni/ etc etc etc
2. 2 hr or so.......piga ILANI/sera etc etc etc
Kumbe!
 
Watu ni wepesi wa kusahau, uwakumbushe kuwa Magu ni mwongo msimwamini tena na tena. Then unapiga sera/ilani. Muda umetengwa hivi:
1. 1 hr or so......... kumbusha uongo/mauaji/wizi/utekaji/utesaji/UUAJI=Ben, Mawazo na wengine/ kukosa uhuru wa kutoa maoni/ etc etc etc
Ushahidi wa kisheria au kimahakama upo?
 
Kwenye mikutano yako

A. Anza kuwakumbusha wananchi ulaghai wa CCM kwa kutoa ahadi za uwongo kwa wananchi kwenye ILANI YAO ILIYOPITA NA MIKUTANO YAO YA KAMPENI na hivyo basi wananchi wawakatae kwa sababu hata wanayoahidi sasa hawatatekeleza

1) Wakumbushe wananchi jnsi CCM ilivyoahidi katiba mpya kwenye ilani ya mwaka 2015 lakini Rais Magufuli akakataa baada ya kuapishwa akadai eti hakuinadi kwenye ksmpeni wakati imo kwenye ilani yao-Waulize wananchi kama wanaweza kuendelea kuwaamni watoa ahadi za uowongo

2)Wakumbushe wananchi ahadi ya CCM iiyoko kwenye ilani yao ya 2015 kuwa watatoa milioni 50 kila kijiji—Mpaka sasa hawajatoa hata thumni, Waulize wananchi wana sababu gani za kuendelea kuamini watu waongo

3)Wakumbushe wananchi namna Magufuli alivyoahidi kugawa laptop kwa kila mwalimu ili imsaidie kuboresha ufudishaji—Waulize wananchi ziko wapi hizo laptop na pia waulize wananchi kwa vipi waendelee kuamini watu wasioishi neno lao?

4) Wakumbushe wananchi namna ilani ya uchaguzi ua CCM ya mwaka 2015 inavyozugumzia kuendelezwa kwa sera ya kilimo kwanza lakini Magufuli alipoingia tu miongoni mwa vitu alivyoanza navyo ni kuifutilia mbali sera hiyo licha ya kuwa ni mpango upo katika ilani yao ya mwaka huo

5. Wakumbushe wananchi jinsi Ilani ya CCM ya mwaka 2015 ilivyosema kuwa watoto watakaopata ujauzito serikali haitowafukuza shule—Wakumbushe jinsi Magufuli alivyoingia madarakani alivyokana ilani yake mwenyewe kwa kusema kuwa hao mabinti wakipata mimba atawafukuza shule za serikali kwa sababu hasomeshi wazazi.

B) Anza kuwaambia wananchi Ulaghai wa CCM ya sasa na hivyo Wasiiamini tena kuipa kura

1. Bashiru aliuambia umma kuwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawatotumia wasanii—Uongo mtupu, leo CCM wamegeuka waandaaji wakubwa wa disco za hadhara, juzi dodoma kulikuwa na wasanii zaidi ya 100. Kwa sababu CCM hawana sera za maana za kushawishi wananchi, wanasafiria nyota za wasanii

2)Wakumbushe wananchi kauli ya Magufuli mwanzoni mwa mwaka huu kuwa uchaguzi utakuwa huru na haki—Lakini mpaka hivi sasa tangu njama za kuengua wapinzani na kuvuruga uchaguzi ili CCM ipate ushindi wa mezani inaonyesha namna kauli kutoka kwa viongozi wa CCM jinsi zisivyo za kweli.

3)Wakumbushe wananchi jinsi CCM ilivyojifanya kupiga mkwara kuwa haitopitisha watoa rushwa kwenye kugombea, lakini pamoja na hayo wameishia kuteua wagombea wengine waliokamatwa kwa rushwa waziwazi na badala ya TAKUKURU iliyo chini ya serikali kufanya kazi yake, nayo imeacha kutimiza wajibu wake kwa kuwafumbia macho—Waulize wananchi wana sababu gani ya kumuamini Magufuli wakati ameshindwa kusimamia kauli ya chama chake ya awali kuhusu watoa rushwa?. Pia waulize wananchi, iweje wachague chama kuunda serikali, chama ambacho wagombea wake wamepatikana kwa rushwa, Je chama hicho kitaweza kupambana na rushwa na ufisadi wakati hawahawa wanaotegemea kupigana vita hiyo wamepatikana kwa rushwa?

C) Kila kituo cha kampeni utakachokwenda anza kupre-empt na kuneutralize Talk points za CCM
1. Tafuta rebuttal nzuri sana ya Ishu ya SGR hii usipinge ujenzi wake, pinga namna inavyojengwa, tafuta data za mikopo ya ujenzi wa reli hii na itaavyowatia umasikini watoto wetu kwa sababu ya deni la Taifa kupaa sana. Waonyeshe wananchi kuwa unaunga mkono ujenzi wa SGR ila kwa mpango mbadala (chukua ule mpango wa ACT wazalendo wa kujenga SGR kupitia PPP), na pia mataaluma ya reli tunaagiza nje, tunapeleka mabilioni ya dola nje badala ya kuboresha kwanza Liganga na mchuchuma ili chuma chetu cha ndani ndo kijenge mataaluma hayo, ili pesa hiyo ndefu na ajira zibaki ndani badala ya kuwapelekea wajapan dola hizo na ajira kwao

2. Kuhusu Stieglers, Usiupinge mradi bali pia kosoa namna ya ujenzi wa mradi huo, tafuta data unajengwaje, wananchi wananufaikaje, je kuna technology transfer au tunaishia kuwa wabeba zege na mafundi mchundo tu?. Waambie wananchi kuwa ukiacha Stieglers wewe utajenga Vinu vingine vya umeme kwa kutumia gesi ya Mtwara, umeme utakaokuwa mwingi kuliko utakaozalishwa na Bwawa la Stieglers. Stieglers itazalisha around Megawatts 2000 na ushehe, wewe plan yako ionyeshe utaleta umeme wa gesi mkubwa mara tatu ya huo

3. Kuhusu ndege, hiyo endelea kuponda, piga spana kwelikweli, ni mradi feki

4. Kuhusu kujenga uwanja wa ndege Chato, yaani hii usiiache kila mahali, piga spana, piga nyundo, siliba kwelikweli

5. Kuhusu Elimu bure, waambie wananchi juubya uwepo wa waraka wa siri wa wakuu wa shule kuendelea kuwachangisha wazazi baadhi ya michango, waambie kuhusu michango ya baadhi ya mikoa wazazi kuambiwa kila abayeanza kidato cha kwanza aende na dawati lake mwenyewe!. Waambie hii Elimu ni elimu gani wakati mwanafunzi anaambiwa aende na dawati lake. Waambie wananchi kuwa wewe utakuja na mpango mzuri zaidi wa elimu bure tena siyo bure tu bali iliyobora na ikikupendeza mheshimiwa rais mtarajiwa ifanye iwe bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha sita!. Mpango wako wa Elimu uwe ELIMU BURE NA BORA KWA WOTE! (haya ni maoni yangu binafsi yakikupendeza yachukue)

C). Kwenye kutafuta kura kutoka kwa makundi maalum ya kijamii

1. Kwa waislamu, tumia kauli indirectly kuwa "Sitoteua watu kwa wingi kuliko wangine kwa sababu ni wa imani yangu bali nitateua kwa vigezo na vigezo ninavyovitska vipo kwa watu wa imani zote—Hapa utakuwa umemchapa Jiwe konzi moja nzito mno na Waislamu watakuelewa sana maana teuzi za Jiwe zinanuka udini mno na waislamu linawachukiza sana hilo

2)Endelea kuwasemea Masheikh waislamu, Jana umefanya kazi nzuri sana Arusha kwa kuwasemea Masheikh 70 wa arusha walioko ndani.
Pia endelea kuwasemea Masheikh wa Zanzibar (Usitumie neno Masheikh wa uamsho, hilo neno ni divisive, Tumia tu neno Viongozi wa dini ya kiislamu walioko jela), Wakumbushe waislamu kuwa Magufuli ameshasamehe wafungwa wa kila aina wakiwemo waliofungwa kwa ubakaji lakini anaona tabu kuwaachia Masheikh—Waambie wananchi kuwa utawaweka huru hao masheikh.
(Ukitaka kuwakong'a nyoyo waislamu zaidi, waambie utawalipa fidia hao masheikh kwa kuonewa, kupotezewa muda, kuathiriwa kisaikolojia na kuzitia umasikini familia zao kutokana na vichwa vya familia kuwekwa ndani miaka 6 bila kosa lolote—Kaka ukipiga hii, utapata kura za waislamu haijapata kutokea)

3)Kundi la wanawake, wakumbushe wananchi jinsi Magufuli alivyoteua wanawake wachache mno katika serikali yake kulingsnisha na Kikwete, hii itasaidia kuneutralize soft power ya uwepo wa makamu wa rais mwanamke katika tiketi yake.
Umefanya kazi nzuri kumsiliba Maguful kwa kauli zake tata juu ya wanawake, kauli ile ya jogoo usiiache, endelea kupiga spana, kauli ile ya kupiga mashangazi endelea kupiga nyundo, kauli.

Endelea kuwakumbusha wanawake kuwa mwaka 2015 Magufuli aliwaahidi kuwatua ndoo kichwani, yaani akimaanisha kuwaletea maji. Lakini badala ya kuwaletea maji kwa kasi ya kutosha yeye anachukua pesa ananunulia ndege na kujenga uwanja wa ndege Chato

E. Endelea kuwakumbusha wananchi juu ya Ufisadi

Ishu ya Trilion 1.5 zisizo na maelezo yenye mashiko bado ipo kwenye kumbukumbu za wananchi, japo waliunda kamati ya kuwasafisha, lakini maelezo yao hayana mashiko, Endelea kuwakumbusha wananchi juu ya utata wa Trilion 1. 5
Usisahau kuwakumbusha wananchi Jinsi CAG Assad alivyotimuliwa kwa kusimamia taaluma yake ya uhasibu na pia jinsi manunuzibya ndege yasivyokaguliwa kutokana na Jiwe kuweka ishu za ndege chinibya ofisi ya rais ambayo haikaguliwi na CAG

F. Usisahau ishu ya Maji na Kilimo
Maji bado ni tatizo kubwa, hili umepwaya kidogo, hujaligusia kabisa katika hotuba zako
Pia Kilimo hujakizungumza in details, tafuta mpango mkakati wa kuuza sera zako za kilimo kwa wananchi, waambie wwnanchi serikali yako itakavyowatafutia soko la mazao yao kupitia balozi zilizo nje. Badala ya mabalozi kukaa huko nje na kuuza sura, waanze sasa diplomasia ya kiuchumi ikiwemo kuwatafutia wakulima wetu masoko ya mazao yao ya kilimo.

G. Usiache hata kidogo kuwakumbusha wananchi magumu ya kiuchumi waliyopitia, uwe unawauliza kwenye kia mkutano wako, Je wako tayari kuendelea na mifuko iliyokauka kwa miaka mingine mitano?. Waulize wananchi je bado wanataka kuendelea na vyuma kukaza?. Waulize wananchi kuwa wako tayari kuendelea kukamuliwa na trafiki buku tano tano ili zikang'arishe viatu vya Trafiki? —Waambie wananchi kuwa kama hawataki hayo basi wampige chini Magufuli wakuchague wewe ukarekebishe mambo.

H. Lissu baba, wakumbushe wananchi juu ya adha za faini ya tochi za Trafiki —Waambie wananchi kuwa hutogeuza tochi chanzo cha mapato, bali utaongeza hata speed limit kwenye barabara kuwa 80 hadi 100 kulingana na mahali husika, badala ya 50 hata sehemu zilizowazi kabisa.

Aisee kaka Lissu, Ukiendelea kumwaga sera zako ulizoanza kumwaga kisha ukaongezea na hizi CCM watatafutana!

Piga Spana kaka
Jamani Magu tuna muhitaji sana hatutaki afe mapema,tunahitaji siku moja atueleze wasiojulikana ni akina nani na nani alikuwa anawalinda ?
 
Ninyi kweli "weupe", badala ya kumuhimiza Lissu afafanue ilani yake kinaga ubaga watu waelewe Chadema inaweza kufanya nini tofauti na kilichokwisha fanywa na kinatachotarajiwa kufanywa CCM, bado mnabaki kupiga kelele ambazo watu hawana taimu nazo. Mwambie Lissu aWaeleze wananchi ninamna gani ataifumua TRA na kisha kuleta mbadala wake utakao fanya kazi bora zaidi ya TRA ya sasa. Pia aeleza namna atakavyolipa fidia kutoka " mfukoni mwake"!
Mgombea gani anafafanua ilani?. Mbona watu 2010 waliahidi elimu bure ccm ikawabeza lakini 2015 walichukua.

Pia ilani ya ccm imeahidi ajira mpya mil 8, kwa nini usiwambie ccm wafafanue watatengezeza vipi hizo ajira, wakati 2015/2020 wameshindwa kutemgeneza hata ajira mil 1 ?.

Vipi Magufuli alituahidi wasiojulilana kwenye utawala wake?.
 
Pia awakumbushe wananchi jinsi watoto waliosoma private wanavyonyimwa mikopo na bodi ya mikopo ...pia wafanyakazi walivyonyimwa kupandishwa madaraja hasa walimu

Hili nalo neno, eti babako akiwa TIN, VRN au ameajiriwa na ni meneja basi hupati mkopo
 
Nukuu:

3. Kuhusu ndege, hiyo endelea kuponda, piga spana kwelikweli, ni mradi feki

4. Kuhusu kujenga uwanja wa ndege Chato, yaani hii usiiache kila mahali, piga spana, piga nyundo, siliba kwelikweli


Nimecheka sana.

Namshauri aanze kuzoea kusema "Serikali ya CHADEMA" ili ajitofautishe na yule anayesema serikali "YANGU"
 
Kwenye mikutano yako

A. Anza kuwakumbusha wananchi ulaghai wa CCM kwa kujinsi iivyotoa ahadi za uwongo kwa wananchi kwenye ILANI YAO ILIYOPITA NA MIKUTANO YAO YA KAMPENI na hivyo basi wananchi wawakatae kwa sababu hata wanayoahidi sasa hawatatekeleza

1) Wakumbushe wananchi jnsi CCM ilivyoahidi katiba mpya kwenye ilani ya mwaka 2015 lakini Rais Magufuli akakataa baada ya kuapishwa akadai eti hakuinadi kwenye ksmpeni wakati imo kwenye ilani yao-Waulize wananchi kama wanaweza kuendelea kuwaamni watoa ahadi za uowongo

2)Wakumbushe wananchi ahadi ya CCM iiyoko kwenye ilani yao ya 2015 kuwa watatoa milioni 50 kila kijiji—Mpaka sasa hawajatoa hata thumni, Waulize wananchi wana sababu gani za kuendelea kuamini watu waongo

3)Wakumbushe wananchi namna Magufuli alivyoahidi kugawa laptop kwa kila mwalimu ili imsaidie kuboresha ufudishaji—Waulize wananchi ziko wapi hizo laptop na pia waulize wananchi kwa vipi waendelee kuamini watu wasioishi neno lao?

4) Wakumbushe wananchi namna ilani ya uchaguzi ua CCM ya mwaka 2015 inavyozugumzia kuendelezwa kwa sera ya kilimo kwanza lakini Magufuli alipoingia tu miongoni mwa vitu alivyoanza navyo ni kuifutilia mbali sera hiyo licha ya kuwa ni mpango upo katika ilani yao ya mwaka huo

5. Wakumbushe wananchi jinsi Ilani ya CCM ya mwaka 2015 ilivyosema kuwa watoto watakaopata ujauzito serikali haitowafukuza shule—Wakumbushe jinsi Magufuli alivyoingia madarakani alivyokana ilani yake mwenyewe kwa kusema kuwa hao mabinti wakipata mimba atawafukuza shule za serikali kwa sababu hasomeshi wazazi.

B) Anza kuwaambia wananchi Ulaghai wa CCM ya sasa na hivyo Wasiiamini tena kuipa kura

1. Bashiru aliuambia umma kuwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawatotumia wasanii—Uongo mtupu, leo CCM wamegeuka waandaaji wakubwa wa disco za hadhara, juzi dodoma kulikuwa na wasanii zaidi ya 100. Kwa sababu CCM hawana sera za maana za kushawishi wananchi, wanasafiria nyota za wasanii

2)Wakumbushe wananchi kauli ya Magufuli mwanzoni mwa mwaka huu kuwa uchaguzi utakuwa huru na haki—Lakini mpaka hivi sasa tangu njama za kuengua wapinzani na kuvuruga uchaguzi ili CCM ipate ushindi wa mezani inaonyesha namna kauli kutoka kwa viongozi wa CCM jinsi zisivyo za kweli.

3)Wakumbushe wananchi jinsi CCM ilivyojifanya kupiga mkwara kuwa haitopitisha watoa rushwa kwenye kugombea, lakini pamoja na hayo wameishia kuteua wagombea wengine waliokamatwa kwa rushwa waziwazi na badala ya TAKUKURU iliyo chini ya serikali kufanya kazi yake, nayo imeacha kutimiza wajibu wake kwa kuwafumbia macho—Waulize wananchi wana sababu gani ya kumuamini Magufuli wakati ameshindwa kusimamia kauli ya chama chake ya awali kuhusu watoa rushwa?. Pia waulize wananchi, iweje wachague chama kuunda serikali, chama ambacho wagombea wake wamepatikana kwa rushwa, Je chama hicho kitaweza kupambana na rushwa na ufisadi wakati hawahawa wanaotegemea kupigana vita hiyo wamepatikana kwa rushwa?

C) Kila kituo cha kampeni utakachokwenda anza kupre-empt na kuneutralize Talk points za CCM
1. Tafuta rebuttal nzuri sana ya Ishu ya SGR hii usipinge ujenzi wake, pinga namna inavyojengwa, tafuta data za mikopo ya ujenzi wa reli hii na itaavyowatia umasikini watoto wetu kwa sababu ya deni la Taifa kupaa sana. Waonyeshe wananchi kuwa unaunga mkono ujenzi wa SGR ila kwa mpango mbadala (chukua ule mpango wa ACT wazalendo wa kujenga SGR kupitia PPP), na pia mataaluma ya reli tunaagiza nje, tunapeleka mabilioni ya dola nje badala ya kuboresha kwanza Liganga na mchuchuma ili chuma chetu cha ndani ndo kijenge mataaluma hayo, ili pesa hiyo ndefu na ajira zibaki ndani badala ya kuwapelekea wajapan dola hizo na ajira kwao

2. Kuhusu Stieglers, Usiupinge mradi bali pia kosoa namna ya ujenzi wa mradi huo, tafuta data unajengwaje, wananchi wananufaikaje, je kuna technology transfer au tunaishia kuwa wabeba zege na mafundi mchundo tu?. Waambie wananchi kuwa ukiacha Stieglers wewe utajenga Vinu vingine vya umeme kwa kutumia gesi ya Mtwara, umeme utakaokuwa mwingi kuliko utakaozalishwa na Bwawa la Stieglers. Stieglers itazalisha around Megawatts 2000 na ushehe, wewe plan yako ionyeshe utaleta umeme wa gesi mkubwa mara tatu ya huo

3. Kuhusu ndege, hiyo endelea kuponda, piga spana kwelikweli, ni mradi feki

4. Kuhusu kujenga uwanja wa ndege Chato, yaani hii usiiache kila mahali, piga spana, piga nyundo, siliba kwelikweli

5. Kuhusu Elimu bure, waambie wananchi juubya uwepo wa waraka wa siri wa wakuu wa shule kuendelea kuwachangisha wazazi baadhi ya michango, waambie kuhusu michango ya baadhi ya mikoa wazazi kuambiwa kila abayeanza kidato cha kwanza aende na dawati lake mwenyewe!. Waambie hii Elimu ni elimu gani wakati mwanafunzi anaambiwa aende na dawati lake. Waambie wananchi kuwa wewe utakuja na mpango mzuri zaidi wa elimu bure tena siyo bure tu bali iliyobora na ikikupendeza mheshimiwa rais mtarajiwa ifanye iwe bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha sita!. Mpango wako wa Elimu uwe ELIMU BURE NA BORA KWA WOTE! (haya ni maoni yangu binafsi yakikupendeza yachukue)

C). Kwenye kutafuta kura kutoka kwa makundi maalum ya kijamii

1. Kwa waislamu, tumia kauli indirectly kuwa "Sitoteua watu kwa wingi kuliko wangine kwa sababu ni wa imani yangu bali nitateua kwa vigezo na vigezo ninavyovitska vipo kwa watu wa imani zote—Hapa utakuwa umemchapa Jiwe konzi moja nzito mno na Waislamu watakuelewa sana maana teuzi za Jiwe zinanuka udini mno na waislamu linawachukiza sana hilo

2)Endelea kuwasemea Masheikh waislamu, Jana umefanya kazi nzuri sana Arusha kwa kuwasemea Masheikh 70 wa arusha walioko ndani.
Pia endelea kuwasemea Masheikh wa Zanzibar (Usitumie neno Masheikh wa uamsho, hilo neno ni divisive, Tumia tu neno Viongozi wa dini ya kiislamu walioko jela), Wakumbushe waislamu kuwa Magufuli ameshasamehe wafungwa wa kila aina wakiwemo waliofungwa kwa ubakaji lakini anaona tabu kuwaachia Masheikh—Waambie wananchi kuwa utawaweka huru hao masheikh.
(Ukitaka kuwakong'a nyoyo waislamu zaidi, waambie utawalipa fidia hao masheikh kwa kuonewa, kupotezewa muda, kuathiriwa kisaikolojia na kuzitia umasikini familia zao kutokana na vichwa vya familia kuwekwa ndani miaka 6 bila kosa lolote—Kaka ukipiga hii, utapata kura za waislamu haijapata kutokea)

3)Kundi la wanawake, wakumbushe wananchi jinsi Magufuli alivyoteua wanawake wachache mno katika serikali yake kulingsnisha na Kikwete, hii itasaidia kuneutralize soft power ya uwepo wa makamu wa rais mwanamke katika tiketi yake.
Umefanya kazi nzuri kumsiliba Maguful kwa kauli zake tata juu ya wanawake, kauli ile ya jogoo usiiache, endelea kupiga spana, kauli ile ya kupiga mashangazi endelea kupiga nyundo, kauli.

Endelea kuwakumbusha wanawake kuwa mwaka 2015 Magufuli aliwaahidi kuwatua ndoo kichwani, yaani akimaanisha kuwaletea maji. Lakini badala ya kuwaletea maji kwa kasi ya kutosha yeye anachukua pesa ananunulia ndege na kujenga uwanja wa ndege Chato

E. Endelea kuwakumbusha wananchi juu ya Ufisadi

Ishu ya Trilion 1.5 zisizo na maelezo yenye mashiko bado ipo kwenye kumbukumbu za wananchi, japo waliunda kamati ya kuwasafisha, lakini maelezo yao hayana mashiko, Endelea kuwakumbusha wananchi juu ya utata wa Trilion 1. 5
Usisahau kuwakumbusha wananchi Jinsi CAG Assad alivyotimuliwa kwa kusimamia taaluma yake ya uhasibu na pia jinsi manunuzibya ndege yasivyokaguliwa kutokana na Jiwe kuweka ishu za ndege chinibya ofisi ya rais ambayo haikaguliwi na CAG

F. Usisahau ishu ya Maji na Kilimo
Maji bado ni tatizo kubwa, hili umepwaya kidogo, hujaligusia kabisa katika hotuba zako
Pia Kilimo hujakizungumza in details, tafuta mpango mkakati wa kuuza sera zako za kilimo kwa wananchi, waambie wwnanchi serikali yako itakavyowatafutia soko la mazao yao kupitia balozi zilizo nje. Badala ya mabalozi kukaa huko nje na kuuza sura, waanze sasa diplomasia ya kiuchumi ikiwemo kuwatafutia wakulima wetu masoko ya mazao yao ya kilimo.

G. Usiache hata kidogo kuwakumbusha wananchi magumu ya kiuchumi waliyopitia, uwe unawauliza kwenye kia mkutano wako, Je wako tayari kuendelea na mifuko iliyokauka kwa miaka mingine mitano?. Waulize wananchi je bado wanataka kuendelea na vyuma kukaza?. Waulize wananchi kuwa wako tayari kuendelea kukamuliwa na trafiki buku tano tano ili zikang'arishe viatu vya Trafiki? —Waambie wananchi kuwa kama hawataki hayo basi wampige chini Magufuli wakuchague wewe ukarekebishe mambo.

H. Lissu baba, wakumbushe wananchi juu ya adha za faini ya tochi za Trafiki —Waambie wananchi kuwa hutogeuza tochi chanzo cha mapato, bali utaongeza hata speed limit kwenye barabara kuwa 80 hadi 100 kulingana na mahali husika, badala ya 50 hata sehemu zilizowazi kabisa.

Aisee kaka Lissu, Ukiendelea kumwaga sera zako ulizoanza kumwaga kisha ukaongezea na hizi CCM watatafutana!

Piga Spana kaka
Watu msiokuwa na elimu ya intelligencia mnakwama sana, hivi unadhan hao unaowaita mashekhe waliopo huko walipo hifadhiwa kwa bahati mbaya!! Masuala ya ulinzi wa Nchi hayahtaj huruma kwa mtu yeyote yule anaeonekana kirusi katk Nchi yoyote ile. Huwa tunawachora tu mnavyowalilia hao mashekhe wenu, na kwa taarifa yko ni kwmb hata mpinzani akishika dola, hawez kuwatoa hao watu huko walikohifadhiwa. Huu ni mkakati wa kiulinzi zaid siyo kisiasa.
 
Naunga mkono hoja, pia awaeleze wananchi utapeli ma ccm yalivyoahidi milioni 50 kwa kila kijiji!.
 
Watu msiokuwa na elimu ya intelligencia mnakwama sana, hivi unadhan hao unaowaita mashekhe waliopo huko walipo hifadhiwa kwa bahati mbaya!! Masuala ya ulinzi wa Nchi hayahtaj huruma kwa mtu yeyote yule anaeonekana kirusi katk Nchi yoyote ile. Huwa tunawachora tu mnavyowalilia hao mashekhe wenu, na kwa taarifa yko ni kwmb hata mpinzani akishika dola, hawez kuwatoa hao watu huko walikohifadhiwa. Huu ni mkakati wa kiulinzi zaid siyo kisiasa.

intelijensia inakamata masheikh tu? mbona wale ambao walisaini mikataba ya kifisadi ya madini wapo mtaani tu mpaka sasa wanakula bata?

Kama Intelijensia ina ushahidi dhidi ya tuhuma kwa hao masheikh, kwa kwa nini katika miaka yote sita masheikh hao wakiwa ndani haijaufikisha ushahidi huo mahakamani wahukumiwe?

Na kama intelijensia iko vizuri kiasi hicho kwa nini haijawakamata waliompiga risasi Lissu, au kumkamata aliyewapoteza Azory Gwanda, Ben Saanane, Kanguye na nani aliyewaua wale watu waliokuwa wanaokotwa kwenye viroba?
 
Yakwangu Ni haya:
1. Kilimo- kinaajili asilimia kubwa ya wananchi. Kilimo Cha kusubiri mvua nishida kwa wananchi. Eleza mpango wa kujenga miundombinu ya umwagiliaji kwenye maeneo yanayowezekana na wananchi wewezekwenda kiendesha. Mashamba ya umwagiliaji kwa mpango maalumu.

2. Michezo Ni ajira na nichanzo Cha mapato kwa halmashauri na Kodi Kama VAT. Sema viwanja vyote vya michezo vilivyoporwa na CCM utavirejesha katika halmashauri za miji au majiji. Vilijengwa kwa nguvu ya wananchi wote na wasio CCM walichangishwa kwa nguvu kwa kuongeza being za bidhaa, nauli za usafiri na tozo katika kupata huduma. Sema utaboresha viwanja vyote kwa kuviwekea nyasi za badia ili wachezaji wazoee pitch za kimataifa.

2. Kuhusu uwanja wa ndege wa Chato - ponda kabisa, na kampuni iliyoujenga niyakwake Mayanga. Ongezea na taa za kuongoza magari, pale hakuna magari yanayohitaji kuongozwa kwa taa. Taa zimebaki kuongoza mikokoteni ya punda tu. Geita mji Mkuu wa mkoa hakuna taa kabisa.
 
Yakwangu Ni haya:
1. Kilimo- kinaajili asilimia kubwa ya wananchi. Kilimo Cha kusubiri mvua nishida kwa wananchi. Eleza mpango wa kujenga miundombinu ya umwagiliaji kwenye maeneo yanayowezekana na wananchi wewezekwenda kiendesha. Mashamba ya umwagiliaji kwa mpango maalumu.

2. Michezo Ni ajira na nichanzo Cha mapato kwa halmashauri na Kodi Kama VAT. Sema viwanja vyote vya michezo vilivyoporwa na CCM utavirejesha katika halmashauri za miji au majiji. Vilijengwa kwa nguvu ya wananchi wote na wasio CCM walichangishwa kwa nguvu kwa kuongeza being za bidhaa, nauli za usafiri na tozo katika kupata huduma. Sema utaboresha viwanja vyote kwa kuviwekea nyasi za badia ili wachezaji wazoee pitch za kimataifa.

2. Kuhusu uwanja wa ndege wa Chato - ponda kabisa, na kampuni iliyoujenga niyakwake Mayanga. Ongezea na taa za kuongoza magari, pale hakuna magari yanayohitaji kuongozwa kwa taa. Taa zimebaki kuongoza mikokoteni ya punda tu. Geita mji Mkuu wa mkoa hakuna taa kabisa.

Thanks nyundo zimetulia hizi
Lissu na wasaidizi wake wazione!
 
Back
Top Bottom