Upelelezi haujakamilika?
 
Wacha watalam wapeleleze kwa taratibu ili wajiridhishe vizuri[emoji1787][emoji1787]
Huoni kama hayo ni maandalizi ya kesi kufutwa

Sabaya atalipa faini kwa DPP na kurudi kumzodoa mbowe kama kawaida
 
Sabaya kwanza unaweza kukuta hakuwa rumande!

Na atawashinda mapema tu! Au ataambiwa alipe faini kwa DPP kama kina SETH
"unaweza kuta hakuwa rumande" ww ni mkuu wa gereza ?
kesi ya kina seth na sabaya hazifanani..
 
Badala ya kumrudisha rumande angenyongwa kabisa wakati akisubiri upande wa mashitaka ukamilishe uchunguzi
 
Ilitakiwa aje hapo anachechemea uyo jambazi sugu, Hawa KM (special force) wa magerezani wametuangusha kwakweli
 
Mbona wanamuwahisha mapema Sana mahakamani kwann asikae kama miaka 6 hivi kama wazee wa escrow au uhamsho kusubiria ushahidi kukamilika ndipo aanze pelekwa mahakamani.Hii sio dabo standard kweli
Kingine ilitakiwa leo aje anachechemea Jambazi uyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…