KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,789
- 4,951
Umesikia walichosema au unaamini upotoshaji wa mleta uzi huu?
Hata waislam sio wote wanaosapoti serikali kuuza nchi.Hata wakatoliki sio wote wafuasi wa Kitima na Dr Slaa...
Interesting
Source pleaseMama yupo mbioni kuuza kwa waarabu
🤣🤣🤣Afu katinga na kiti chakeMwanasiasa akemea kuchanganya siasa na dini kanisani akiwa mgeni rasmi kanisani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna mpasuki,wakatoliki wanaoneshwa wao si loloteHuu mpasuko ambao unatengenezwaa.. isipotumika hekima badae itakuwa na picha picha nyingi sana
pumbavu, kwa kuwa wamewapiga pini za kutosha ndio mnawarushia shombo na wengine wamewaunga mkono ndio mnawaona wa maanaHili ndo kanisa sasa. Ndo mana sikuwaskia Maaskofu wao kwenye escrow!
Hiyo ni kazi ya Prof Mbarawa na wanasheria wa wizara na wameishafanya sana mpaka muda huu.Huu mkataba wa DP World utakuwa una matatizo ndio maana hata Rais anakosa courage ya kuusifia waziwazi.
Naona kama anaendelea kujificha ingawa alipata jukwaa zuuri ya kumaliza utata uliopo lakini hakufanya hivyo!!!.
AMeunga Mkono uwekezaji in general au Specific wa DPW?
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha wakati wa maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa hilo.
View attachment 2724056
VIDEO:
View attachment 2724093
Sawa sawaHakuna mpasuki,wakatoliki wanaoneshwa wao si lolote
Hakuna mahali askofu Shoo amesema wanaunga mkono mkataba wa Dpw. Kasema wanaungamkono uwekezaji. Kuna watu wanajaribu kupotosha jamii hapa, kwamba kkkt wameunga mkono mkataba. Sio kweli. Enyi watu, sikilizeni hotuba ya askofu wenyewe.Msikilize hapa short clip yeye mwenyewe.
Hawa chawa wamejipanga kupotosha watu.
Mbele Ya Rais Samia, Askofu Shoo Azungumzia Sakata la Bandari. 'Jambo Hili Linahitaji Hekima Kubwa'
View: https://youtu.be/qJvAMuLCH3Y
Suala la Bandari ni suala la Uchumi na ulinzi wa nchi yetu!Hakuna mpasuki,wakatoliki wanaoneshwa wao si lolote
🤣🤣🤣That’s may be true . The church has a long history of war and crime . Ila bora kuwa mpagani sio kuwa KKKT . Kanisa limeundwa kihuni . History yake yakihuni , SADAKA NDO ZINA LISHA FAMILIA YA MKE ,WATOTO , MICHEPUKO na Ukoo mzima wa askofu , mchungaji na washirika . HIVI UNAENDA CHURCH KUPIGWA PESA MMLISHE MWINGINE na familia yake . Na worse that wachungaji Na askofu hata walipo toka aijulikani ni kupeana tu uchungaji kupiga pesa . Bora MAKANISA YA KILOKOLE SIO KKKT MAANA AMNA TOFAUTI . Both ni vikundi ya kihuni . Shule amna
Hivi unaongea nini na pastor wa kkkt ?