TEC wanauwezo mkubwa kuliko hawa.Sasa kabla hajatoa majibu Kwanini kuna sheria zilianza kubadilishwa ili ziendane na mkatab ndo swali walilouliza so ni logic ndogo tu kuwa kule kuanza kubadlisha baadhi ya sheria kunaonyeaha kuwa ametupitlia mbali ushauri wao
NB: SIKO UPANDE WOWOTE ILA NATAZAMA LOGIC & REASONING
Unafahamu muundo wa kanisa katoliki upoje ?kimaamuzi, kiutendaji na shughuli zote za kanisa ?Hata wakatoliki sio wote wafuasi wa Kitima na Dr Slaa...
Interesting
Weka alichosema msimuwekee manenoHapo jana kanisani alisema hayo.View attachment 2724060
Shoo alisema huyo Raisi ni wapwke japo wengi hawakupenda uongozi wake (RC)Naona hujamuelewa Shoo
Wanafiki hao na wanajiknaga ni king maker sana hapa Tanzania.Je TEC wamekosa subira?
Una akili mbovuKamchana live bila kupepsa macho.kasema kabisa kama hawatazingati ushauri waliokubaliana basi wakianza mashambulizi wasiaambie kuwa wasichanganye dini na siasa.kingine kamwambia inakuwaje makaa ya mawe kila siku yanauzwa na faida hatuoni?kwa nini tusiyachakate wenyewe.Kazi kwenu machawa wa mama.
wewe unaona hivyo?TEC wanauwezo mkubwa kuliko hawa.
Kwani kuna mtu yeyote aliwahi kuoinga uwekezaji wa aina yoyote? Kuna watu ni wajinga, waongo, kiasi cha kukosa haya.Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetoa msimamo wa kuunga mkono Uwekezaji wa Bandari.
Askofu FREDRICK SHOO ametoa msimamo huo leo Agosti 21, 2023 Mkoani Arusha wakati wa maadhimisho ya Miaka 60 ya Kanisa hilo.
View attachment 2724056
asee sio wewe .Yaani kwa nyakati ngumu badala ya kuungana ili kusilete mpasuko ndio kwanza tunagawanywa.Japokua mimi mwenyewe nimrutheran ila huu ujinga sikubaliani nao
Na watu ambao kichwani hamna kitu mkuuRc sio kanisa la kilokole . Kwamba watafunga kanisa amna watumishi hata kumi watu wanasali siku inaisha .system ikiwatema roman catholic ni ngumu maana amna alama utajua huyu ni nani ? Also walokole wengi kichwani amana kitu . Same things will happen . System itamtema tu automatic
Haraka ya nini- haraka haraka haina baraka wahenga walisemaNdo wakatoa Tamko Hao TEC
Utii ktk KANISA KATOLIKI HAUNA MLINGANO bro!Hata wakatoliki sio wote wafuasi wa Kitima na Dr Slaa...
Interesting
Wewe ulikuepo au unasema maoni yako, acheni ujuaji......Umechagua ku quote tu sehemu yako unayoona inakupendeza kudanganya umma ila Shoo hajasema hayo. Kasema maoni yao kama dini zote, waliyafikisha kwa pamoja wakiwa na viongozi wote wa CCT, TEC na BAKWATA kwenye mkutano binafsi na Mh Rais, na yeye anaamini Mh Rais atayafanyia kazi, na kama hatayafanyia kazi, basi asije akasema dini inaletwa kwenye siasa wakianza kutoa maoni mengine. Msipende kupotosha umma, mambo ya hovyo sana mnafanya.
Wakipata nafasi nao watashauri,mama anawapiga danadana kuonana naoKwa nini wao tu na si BAKWATA au KKKT? Wao nin nani kwa mfano?